:A S cry:Ina maana watu wengine mnataka tuendelee kuumia kwa miaka mingine mitano (5).:sad: Tukumbuke kwa jinsi hali ilivyo bungeni sasa CHADEMA tuna wabunge wachahe ina maana tukitaka kupitisha sheria ya kuweka TUME HURU YA UCHAGUZI kura za NDIO hazitatosha kwani tunazidiwa na CCM ambao wengi wao wataipinga. Hivyo hata 2015 au hata 2030 mambo yatakuwa yaleyale. hata sheria zingine zitakuwa ngumu kuweka. Mwenye nguvu kubwa ni RAIS kwa KATIBA ya sasa.
JAMANI TUNAIBIWA HAKI YETU NA TUNAKAA KAMA KONDOO. KWELI NDIO MAANA MAFISADI WANAONGEZEKA KILA KUKICHA TANZANIA. NI MAHALI AMBAPO MWIZI ANAIBA AKITOKA NJE ANAPIGIWA MAKOFI NA KUWEKWA MKUU WA KITUO CHA POLISI BADALA YA KUPIGWA MAWE.
Wajameni kama vipi tuingie mitaani tugome, wahawezi kutupiga virungu sisi wote, DK SLAA anahitaji nguvu yetu sisi TUKINYAMAZE yeye akianzisha ataonekana ataka kuleta vurugu tu bila sababu. :evil::evil::evil::evil:
Peoplesssssssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrr ......
JAMANI TUNAIBIWA HAKI YETU NA TUNAKAA KAMA KONDOO. KWELI NDIO MAANA MAFISADI WANAONGEZEKA KILA KUKICHA TANZANIA. NI MAHALI AMBAPO MWIZI ANAIBA AKITOKA NJE ANAPIGIWA MAKOFI NA KUWEKWA MKUU WA KITUO CHA POLISI BADALA YA KUPIGWA MAWE.
Wajameni kama vipi tuingie mitaani tugome, wahawezi kutupiga virungu sisi wote, DK SLAA anahitaji nguvu yetu sisi TUKINYAMAZE yeye akianzisha ataonekana ataka kuleta vurugu tu bila sababu. :evil::evil::evil::evil:
Peoplesssssssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrr ......