Elections 2010 Eti TUNGOJE 2015, HAKI SASA IIBIWE. CHADEMA HATUDANGANYIKI .... Full STOP.....

werawera

Senior Member
Oct 5, 2010
138
40
:A S cry:Ina maana watu wengine mnataka tuendelee kuumia kwa miaka mingine mitano (5).:sad: Tukumbuke kwa jinsi hali ilivyo bungeni sasa CHADEMA tuna wabunge wachahe ina maana tukitaka kupitisha sheria ya kuweka TUME HURU YA UCHAGUZI kura za NDIO hazitatosha kwani tunazidiwa na CCM ambao wengi wao wataipinga. Hivyo hata 2015 au hata 2030 mambo yatakuwa yaleyale. hata sheria zingine zitakuwa ngumu kuweka. Mwenye nguvu kubwa ni RAIS kwa KATIBA ya sasa.
JAMANI TUNAIBIWA HAKI YETU NA TUNAKAA KAMA KONDOO. KWELI NDIO MAANA MAFISADI WANAONGEZEKA KILA KUKICHA TANZANIA. NI MAHALI AMBAPO MWIZI ANAIBA AKITOKA NJE ANAPIGIWA MAKOFI NA KUWEKWA MKUU WA KITUO CHA POLISI BADALA YA KUPIGWA MAWE.
Wajameni kama vipi tuingie mitaani tugome, wahawezi kutupiga virungu sisi wote, DK SLAA anahitaji nguvu yetu sisi TUKINYAMAZE yeye akianzisha ataonekana ataka kuleta vurugu tu bila sababu. :evil::evil::evil::evil:
Peoplesssssssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrr ......
 
:A S cry:Ina maana watu wengine mnataka tuendelee kuumia kwa miaka mingine mitano (5).:sad: Tukumbuke kwa jinsi hali ilivyo bungeni sasa CHADEMA tuna wabunge wachahe ina maana tukitaka kupitisha sheria ya kuweka TUME HURU YA UCHAGUZI kura za NDIO hazitatosha kwani tunazidiwa na CCM ambao wengi wao wataipinga. Hivyo hata 2015 au hata 2030 mambo yatakuwa yaleyale. hata sheria zingine zitakuwa ngumu kuweka. Mwenye nguvu kubwa ni RAIS kwa KATIBA ya sasa.
JAMANI TUNAIBIWA HAKI YETU NA TUNAKAA KAMA KONDOO. KWELI NDIO MAANA MAFISADI WANAONGEZEKA KILA KUKICHA TANZANIA. NI MAHALI AMBAPO MWIZI ANAIBA AKITOKA NJE ANAPIGIWA MAKOFI NA KUWEKWA MKUU WA KITUO CHA POLISI BADALA YA KUPIGWA MAWE.
Wajameni kama vipi tuingie mitaani tugome, wahawezi kutupiga virungu sisi wote, DK SLAA anahitaji nguvu yetu sisi TUKINYAMAZE yeye akianzisha ataonekana ataka kuleta vurugu tu bila sababu. :evil::evil::evil::evil:
Peoplesssssssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrr ......

Uko sahihi. Binafsi naona hawa CCM wanatuona mazezeta wa kutupwa, yaani wanapindisha kila kitu. Binafsi JK simtambui kama Rais na ninaweza kuwakikishia waTZ kuwa miaka mitano ijayo hali itakuwa ngumu isiyoweza kuelezeka kwa maneno.
CHADEMA itoe tamko na mapinduzi kama ya CHINA yaanze mara moja. China walifanya mapinduzi si kwa kutumia jeshi bali Peoples' Power!
Tunaomba mawazo wanaJF
 
Uko sahihi. Binafsi naona hawa CCM wanatuona mazezeta wa kutupwa, yaani wanapindisha kila kitu. Binafsi JK simtambui kama Rais na ninaweza kuwakikishia waTZ kuwa miaka mitano ijayo hali itakuwa ngumu isiyoweza kuelezeka kwa maneno.
CHADEMA itoe tamko na mapinduzi kama ya CHINA yaanze mara moja. China walifanya mapinduzi si kwa kutumia jeshi bali Peoples' Power!
Tunaomba mawazo wanaJF

Mapinduzi sio lazma chadema itamke bali nguvu ya watu ndio inatamka automaticaly.
 
Ingependeza kama wapinzani wangepata angalau theluthi moja yaani wabunge 80; wangekuwa na uwezo wa kukwamisha miswaada isiyo na maslahi kwa Taifa. Kwa mwenendo wa matokeo, maamuzi yote yataendelea kutegemea chama tawala
 
Back
Top Bottom