Eti Tanzania kuondoka katika kundi la nchi maskini ifikapo 2015

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
3,504
1,341
Naibu Katibu Mkuu Mtendaji Ofisi ya Rais Kamisheni ya Tume ya Mipango, Bw. Clinfford K. Tandari ameayasema hayo kwenye majadiliano yaliyohusu Utekelezaji wa Mpango wa Istanmbuli kwa nchi maskini maarufu kama LDGs. Mkutano huo ulifanyika nchini ya Kamati ya Pili ya Baraza Kuu la 67 la Umoja wa Mataifa. Alipopata nafasi ya kuchangia utekelezaji wa Mpango huo ( Istambul Plan of Action) Bw. Tandari pamoja na mambo mengine, alisema Tanzania imekwisha kuuingiza mpango huo katika Mpango wa Kitaifa wa Maendeleo wa Kila Miaka Mitano , lengo likiwa ni kuhakikisha kwamba Tanzania inaondoka katika kundi la nchi maskini na kuingia katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati ( Middle Income Countries), ikifikapo mwaka 2015. Akabainisha kwamba ili kufikia hatua hiyo, Serikali imejiwekee vipaumbele kadhaa ambavyo vimeainishwa katika Mpango huo wa Miaka mitano. Akavitaja baadhi ya vipaumbele hivyo kuwa ni Kilimo na Usalama wa Chakula, uboreshaji wa huduma za Elimu, Afya na huduma za maji na usafi wa mazingira, maendeleo ya miundombinu ikiwamo ya barabara, reli, bandari na huduma za nishati. Akavitaja vipaumbele vingine kuwa ni usawa wa kijinsia na uwezeshashi pamoja na kujenga mazingira bora ya biashara na ushindaji wa kibiashara. Katika hatua nyingine Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Rais Kimisheni ya Mipango alieleza kwamba Tanzania ingeweza kufikia lengo lake la kutoka katika kundi la nchi maskini na kuwa kundi la nchi ambazo uchumi wake ni wakati kabla hata ya mwaka 2015 ikiwa tu washirika wa maendeleo ya kichumi watatekeleza ahadi zao za kuisaidia Tanzania zikiwamo zile walizotoa miaka mingi ya nyuma na ambazo hazijatekelezwa hadi sasa. Hata hivyo akasema Tanzania imejidhatiti katika kuhakikisha kwamba inaboresha makufanso ya mapato yake ya ndani ikiwa ni pamoja na kupanua wigo wa kodi na kuibua vyazo vipya vya mapato ili kuziba pengo litokanalo wa wadau wa maendeleo kushindwa kutekeleza ahadi zao
 
Hakuna anayetaka kuondoka huko, bora tuwape madini yote, dhahabu,tanzanite, rubi, almasi, uranium, na wanyama ili sisi tubakie masikini ili tuwe tuna enda kuomba msaada
 
kwan miaka 50 tulikuwa wap au tunaamin kwenye miujiza

ilipo fika mwaka 2002!!....kulikua na ahadi kama hiyo kua ifikapo 2013 ..kila MTANZANIA atakunywa maji Safi mpaka hii leo hata dalili hakuna hiyo ilikua ni Ahadi ya Selikari ya Awam ya 3 kwahiyo hizo na ahadi za MAKABRASHA 2 ziponyingi hizo
 
ilipo fika mwaka 2002!!....kulikua na ahadi kama hiyo kua ifikapo 2013 ..kila MTANZANIA atakunywa maji Safi mpaka hii leo hata dalili hakuna hiyo ilikua ni Ahadi ya Selikari ya Awam ya 3 kwahiyo hizo na ahadi za MAKABRASHA 2 ziponyingi hizo

Ni kweli haya makabrasha yapo mengi sana huko wizarani. Kwahiyo tumebakiza miaka miwili na kidogo kuhama umaskinini! Sijui watakuwa wamebaki kina nani huko?. Ninavyojua mipango yao wanaweka leo miaka mitano ijayo wanafanya kidogo kisha wanachelelea kama zuzu utadhani wametoa mifukoni mwao kumbe ni kodi zetu.

Pointi niliyoipata ni kutofikia malengo ya kuhama kenye umaskini kabla ya 2015 kutokana na washirika wa maendeleo kutokutimiza ahadi zao. Kwa hili naikubali serikali ya Tanzania na halina ubishi ila najiuliza "Tunapanga kuondoka katika umaskini kwa kutegemea kuomba!" Kumbe Matonya (RIP) hakuwa kwenye kundi la maskini ila tu waliokuwa wanadondosha sarafu kwenye kikombe hawakumwezesha.

Kwa mawazo haya ya viongozi wetu safari ni ndeeefu sana
 
Siku zote huaga najiuliza,hivi ukiwa kiongozi uwezo wa kufikiri unashuka?
 
Naibu Katibu Mkuu Mtendaji Ofisi ya Rais Kamisheni ya Tume ya Mipango, Bw. Clinfford K. Tandari ameayasema hayo kwenye majadiliano yaliyohusu Utekelezaji wa Mpango wa Istanmbuli kwa nchi maskini maarufu kama LDGs. Mkutano huo ulifanyika nchini ya Kamati ya Pili ya Baraza Kuu la 67 la Umoja wa Mataifa. Alipopata nafasi ya kuchangia utekelezaji wa Mpango huo ( Istambul Plan of Action) Bw. Tandari pamoja na mambo mengine, alisema Tanzania imekwisha kuuingiza mpango huo katika Mpango wa Kitaifa wa Maendeleo wa Kila Miaka Mitano , lengo likiwa ni kuhakikisha kwamba Tanzania inaondoka katika kundi la nchi maskini na kuingia katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati ( Middle Income Countries), ikifikapo mwaka 2015. Akabainisha kwamba ili kufikia hatua hiyo, Serikali imejiwekee vipaumbele kadhaa ambavyo vimeainishwa katika Mpango huo wa Miaka mitano. Akavitaja baadhi ya vipaumbele hivyo kuwa ni Kilimo na Usalama wa Chakula, uboreshaji wa huduma za Elimu, Afya na huduma za maji na usafi wa mazingira, maendeleo ya miundombinu ikiwamo ya barabara, reli, bandari na huduma za nishati. Akavitaja vipaumbele vingine kuwa ni usawa wa kijinsia na uwezeshashi pamoja na kujenga mazingira bora ya biashara na ushindaji wa kibiashara. Katika hatua nyingine Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Rais Kimisheni ya Mipango alieleza kwamba Tanzania ingeweza kufikia lengo lake la kutoka katika kundi la nchi maskini na kuwa kundi la nchi ambazo uchumi wake ni wakati kabla hata ya mwaka 2015 ikiwa tu washirika wa maendeleo ya kichumi watatekeleza ahadi zao za kuisaidia Tanzania zikiwamo zile walizotoa miaka mingi ya nyuma na ambazo hazijatekelezwa hadi sasa. Hata hivyo akasema Tanzania imejidhatiti katika kuhakikisha kwamba inaboresha makufanso ya mapato yake ya ndani ikiwa ni pamoja na kupanua wigo wa kodi na kuibua vyazo vipya vya mapato ili kuziba pengo litokanalo wa wadau wa maendeleo kushindwa kutekeleza ahadi zao

Vote this to enter in new Seven Wonders of the World
 
Ndiyo, Tanzania itaondoka kwenye kundi la nchi maskini kwenda kwenye kundi la nchi maskini saaana hapo mwaka 2015. Vinginevyo kama huyu jamaa anamaanisha CCM kung'oka ili ujambazi inaofanywa ufutike na pesa iliiyokuwa ikiibiwa itusogeze mbele. Vinginevyo chini ya CCM hii hii tutazama zaidi wanangu.
 
alikuwa anajufurahisha au anataka kufurahisha umati, umaskini tangu lini ukaondoka bila mipango na utekelezaji wa hiyo mipango. rushwa uzembe uvivu wa kufikiri na uroho wa kutafuna pesa za mali za watanzania kamwe hazitatutoa katika umaskini. na uraisi kama wa vasco na viongozi wenzake, utajiri tanzania ni ndoto za alinacha
 
kama rwanda imetupita! then hakuna possibility ya cc kuendelea tena! itabaki historia! hii yote ni kutokana na kuwa na rais DHAIFU, poor us!
 
inaweza kuwa ya kwamba kufika 2015, wananchi wengi watakuwa wameathiriwa na umaskini na kufikia vifo vya masikini wote, hivyo miongoni mwa watakaobaki hatakuwemo maskini.
Yamkini ifikapo2015 tanzania si katika nchi masikini bali katika nchi zenye kuchukiza kwa umaskini na matatizo.
Au itakuwa haimo katika nchi zinazopimwa.
 
Naibu Katibu Mkuu Mtendaji Ofisi ya Rais Kamisheni ya Tume ya Mipango, Bw. Clinfford K. Tandari ameayasema hayo kwenye majadiliano yaliyohusu Utekelezaji wa Mpango wa Istanmbuli kwa nchi maskini maarufu kama LDGs. Mkutano huo ulifanyika nchini ya Kamati ya Pili ya Baraza Kuu la 67 la Umoja wa Mataifa. Alipopata nafasi ya kuchangia utekelezaji wa Mpango huo ( Istambul Plan of Action) Bw. Tandari pamoja na mambo mengine, alisema Tanzania imekwisha kuuingiza mpango huo katika Mpango wa Kitaifa wa Maendeleo wa Kila Miaka Mitano , lengo likiwa ni kuhakikisha kwamba Tanzania inaondoka katika kundi la nchi maskini na kuingia katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati ( Middle Income Countries), ikifikapo mwaka 2015. Akabainisha kwamba ili kufikia hatua hiyo, Serikali imejiwekee vipaumbele kadhaa ambavyo vimeainishwa katika Mpango huo wa Miaka mitano. Akavitaja baadhi ya vipaumbele hivyo kuwa ni Kilimo na Usalama wa Chakula, uboreshaji wa huduma za Elimu, Afya na huduma za maji na usafi wa mazingira, maendeleo ya miundombinu ikiwamo ya barabara, reli, bandari na huduma za nishati. Akavitaja vipaumbele vingine kuwa ni usawa wa kijinsia na uwezeshashi pamoja na kujenga mazingira bora ya biashara na ushindaji wa kibiashara. Katika hatua nyingine Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Rais Kimisheni ya Mipango alieleza kwamba Tanzania ingeweza kufikia lengo lake la kutoka katika kundi la nchi maskini na kuwa kundi la nchi ambazo uchumi wake ni wakati kabla hata ya mwaka 2015 ikiwa tu washirika wa maendeleo ya kichumi watatekeleza ahadi zao za kuisaidia Tanzania zikiwamo zile walizotoa miaka mingi ya nyuma na ambazo hazijatekelezwa hadi sasa. Hata hivyo akasema Tanzania imejidhatiti katika kuhakikisha kwamba inaboresha makufanso ya mapato yake ya ndani ikiwa ni pamoja na kupanua wigo wa kodi na kuibua vyazo vipya vya mapato ili kuziba pengo litokanalo wa wadau wa maendeleo kushindwa kutekeleza ahadi zao

Huyo Msemaji alikuwa anongea KISWAHILI; KIINGEREZA au KISWA-ENGLISH???

Sababu SIDHANi alisema hivyo...
 
Ndiyo, Tanzania itaondoka kwenye kundi la nchi maskini kwenda kwenye kundi la nchi maskini saaana hapo mwaka 2015. Vinginevyo kama huyu jamaa anamaanisha CCM kung'oka ili ujambazi inaofanywa ufutike na pesa iliiyokuwa ikiibiwa itusogeze mbele. Vinginevyo chini ya CCM hii hii tutazama zaidi wanangu.

Inawezekana AC za vx zinawaharibu ubungo na kushusha uwezo wa kufikiri,huyu si wa kwanza na wapo watafuata kwa kauli za kijinga kama hizi wakiamini wananchi ndizo wanazozitaka.
 
Back
Top Bottom