Eti supu ya pweza au nyama yake inasaidia nini?

weeee mkuuu usisemeee mioyo ya watu hapa dar kuna wadada huwa wanauza mihogo mibichi posta kwa ajili ya kutafuna tu na wanaume ndo wanaongoza kula, nimeshuhudia kwenye foleni ya magari upande wa baharini watu wamepaki gari wanamenyewa muhogo watafune.........

Mkuu jioni kwenye foleni ya kuelekea Tazara kuanzia kiwanda cha sigara mihogo ya kutafuna imejaa kibao!
 
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...


Nutritional value
According to the USDA Nutrient Database
(2007), cooked octopus contains about 56
kilocalories (Calories) per 100 grams, and is a
source of vitamin B 3, B12 , potassium ,
phosphorus, and selenium . [5]
Octopus heads are high in selenium and are a
risk for cadmium poisoning, even in small
amounts. [6]
 
Uncooked starch (yaani miogo mibichi) is never digestible by your body....! it is as good as eating sand. Digestion of any starch starts from the mouth whereby it is mixed by Saliva (mate ya mdomoni) where it breaks down the starch.

So eating any uncooked starch is as good as eating nothing and indeed it may couse harzoud heath effects including malnutrition since you may feel like your stomach is full but in realitity its feeled with useless non nutritions food.

My advice for you is to make sure the starch you eat is well cooked and well prepared.

Mshafika mjini vingereza viiingi,wakati kijijini kwenu Mbwinde kifungu kinywa ni muhogo mbichi shambani
 
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...

Na muhogo mbichi unasaidia nini ukiula?.

Pweza huongeza protin kama zilivyo nyama zingine.Hakuna relation kubwa kati ya pweza na nguvu za kiume.

Swala wengi wasilolijua ni kwamba wale wanaouza pweza uswahili huwa wanachanganya na viagra ambazo ndio zinakufanya huwe strong kwenye tendo.Na wala sio pweza

Nawashauri msipende kunywa au kula pweza walioandaliwa barabarani,jamaa wapo after money,wanafanya vile kuvutia biashara.

Ukiendekeza sana haya madawa kuna madhara yake hapo baadae.
 
Back
Top Bottom