1.supu ya pweza unapata protini mwilini ambayo kazi yake ni kujenge mweli
2.muhogo mbichi ni chakula cha wanga hivyo kazi yake ni kuongeza nguvu mwilini
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...
Na muhogo mbichi unasaidia nini ukiula?.
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...
Na muhogo mbichi unasaidia nini ukiula?.
weeee mkuuu usisemeee mioyo ya watu hapa dar kuna wadada huwa wanauza mihogo mibichi posta kwa ajili ya kutafuna tu na wanaume ndo wanaongoza kula, nimeshuhudia kwenye foleni ya magari upande wa baharini watu wamepaki gari wanamenyewa muhogo watafune.........Kwanini ule muhogo mbichi aisee? Tumbo si litakuuma sana? Karne hii ni wachache sana wanaokula muhogo mbichi kama wapo.
weeee mkuuu usisemeee mioyo ya watu hapa dar kuna wadada huwa wanauza mihogo mibichi posta kwa ajili ya kutafuna tu na wanaume ndo wanaongoza kula, nimeshuhudia kwenye foleni ya magari upande wa baharini watu wamepaki gari wanamenyewa muhogo watafune.........
mkuu, pamoja na hiyo, supu ya pweza inasaidia kuwa strong kwenye mambo yetu yaleeee!!, unapiga gemu bila kutepeta!, ni kama viagra flani hivi.
jaribu mkuu, safi sana ila uwe na uhakika!.
Mkuu ile sup ni balaa Lazima upige Hatric ila tatizo ulikamia gemu kaka ndiyo reason ulichekemka.Nilijaribu kunywa supu ya pweza nilishindwa dahh naona ni za watu wa pwani hizo maana nilikuwa na game tight siku hiyo nikashauliwa kupasha na supu ya pweza nikachemka kabisa.
Mkuu ile sup ni balaa Lazima upige Hatric ila tatizo ulikamia gemu kaka ndiyo reason ulichekemka.
Try next tym alaf Relax.
Ulichemkaje Fidel,yaani nonino ilikataa kuninhii?Nilijaribu kunywa supu ya pweza nilishindwa dahh naona ni za watu wa pwani hizo maana nilikuwa na game tight siku hiyo nikashauliwa kupasha na supu ya pweza nikachemka kabisa.
Hahahaha si mchezo ngoja nitajaribu lakini radha yake sikuipenda
Hahahaha si mchezo ngoja nitajaribu lakini radha yake sikuipenda
Kaka hakuna dawa yenye ladha nzuri hata kidogo utamu wa supu ya pweza nywea gizaniii. Hiyo ndiyo the big secret ya huyu mduduHahahaha si mchezo ngoja nitajaribu lakini radha yake sikuipenda