Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,721
- 21,778
Ndugu zetu mnaoanza sikuku mungu awape nguvu ya kumaliza vyema mfungo wetu
najua hapa ndipo kwnye shuguli lakini napenda niwasifu maana hata wale ndugu zetu wachezesha rungu wakifika huu mwezi wanakuwa kama wamemwagiwa tindikali mpaka uishe na balaa la lake ni ile siku yammwisho jinsi zinavyo jaa zile naniino
pamoja na hilo naamini tutafankiwa kupitam na kumaliza salama nawatakia sikukuu njema ama mfungo mwema ,,,ndugu zetu wa nyama za ng'roooooo nawapa pole sana muwe na uvumilivu hawa ni ndugu zetu tutakuwa nanyi tena baada ya mwezi ndio maana muhubiri kwenye baibo anasema kuna wakati wa kucheka na wakati wa kulia amuna budi kulia kwa mwezzi huu mmoja tukisubiri kujumuika na wenzetu
tunawatakien mfungo mwema
mungu awabariki
najua hapa ndipo kwnye shuguli lakini napenda niwasifu maana hata wale ndugu zetu wachezesha rungu wakifika huu mwezi wanakuwa kama wamemwagiwa tindikali mpaka uishe na balaa la lake ni ile siku yammwisho jinsi zinavyo jaa zile naniino
pamoja na hilo naamini tutafankiwa kupitam na kumaliza salama nawatakia sikukuu njema ama mfungo mwema ,,,ndugu zetu wa nyama za ng'roooooo nawapa pole sana muwe na uvumilivu hawa ni ndugu zetu tutakuwa nanyi tena baada ya mwezi ndio maana muhubiri kwenye baibo anasema kuna wakati wa kucheka na wakati wa kulia amuna budi kulia kwa mwezzi huu mmoja tukisubiri kujumuika na wenzetu
tunawatakien mfungo mwema
mungu awabariki