Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,006
Eti Sivutiwi!
Wakati mwingine Inashangaza sana jinsi wanawake wanavyowawekea kiwango cha chini wanaume kuhusiana na hamu yao ya tendo la ndoa.
Hawajafahamu mwanaume kupewa zawadi ya tendo la ndoa inavyoweza kuathiri kukubalika kwake kwa mkewe na hatimaye kuweza kuendelea kujiona ni mwanaume mwenye mke anayejali.
Kumbuka wanaume na wanawake ni tofauti ndiyo maana wanawake hawana ndevu na nywele kifuani kama wanaume yote ni kwa sababu ya homoni za testosterone
Hawajafahamu mwanaume kupewa zawadi ya tendo la ndoa inavyoweza kuathiri kukubalika kwake kwa mkewe na hatimaye kuweza kuendelea kujiona ni mwanaume mwenye mke anayejali.
Kumbuka wanaume na wanawake ni tofauti ndiyo maana wanawake hawana ndevu na nywele kifuani kama wanaume yote ni kwa sababu ya homoni za testosterone