Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
tena kubwa sana
- Mgaya na wanachama wote wa TUCTA
- Vyama mbadala vyote vya kisisiasa
- Makonda ,Wapiga debe ,madereva
- Na hata wale madada wauza "utamu"
- NGO
- I mean wananchi wote
Chenge akiwa Spika tunaomba wenye uwezo waorganise migomo na maandamano. Tunapoeleka People's power inahitajika. Wabunge wa upinzani sauti yao bado ni ndogo.
Chenge hajashiinda uspika lakini kitendo cha yeye kugombea ubunge na sasa kuchukua fomu ya spika ni tusi kwa watanganyika