Elections 2010 Eti Sitta ataka uspika, asema anafaa, Kweli ataliweza hilli Bungo La 10

hata wanavyojitangaza na tume yao hakuna anayeshituka. Kila mtu anaona ni CCM chakachua. Hakuna Democracy bila Tume huru. Tuna Tume Holela!!
 
Kuna taarifa kwamba, baada ya kuona Lowassa na Chenge hawatafaa kupewa Uspika wa Bunge badala ya Sitta, mkakati mpya ni kumuongeza Kinana katika list hiyo hapo juu pamoja na msindikizaji, Philip Marmo, aliyepoteza Ubunge. Ndio maana Kinana na Makamba wamefanya vikao na waandishi kwa siku moja lakini maeneo tofauti, wote wakionyesha CCM imeshashinda na sasa wanatafuta Spika. Kinana alitamba CCM kupata ushindi wakati Makamba alitangaza kutolewa fomu za Uspika. Sitta ajiangalie, hawa jamaa hawajamsamehe, bado wana usongo naye sana, asingerudi nyuma.

Wala siwezi kushangazwa na maamuzi ya kifisadi ya ccm! Huyo jamaa kinana:evil::evil::evil: hafai hata kuwa baba wa familia, sembuse mjengo! Hana hata haya, ananiboa! Kazi yake bungeni ndio itakuwa propaganda!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
huyo msomali hafai kabisa jamani lakini ndio kawaida ya msanii jk watu wake lazima awakumbatie vyema.
 
Kuna taarifa kwamba, baada ya kuona Lowassa na Chenge hawatafaa kupewa Uspika wa Bunge badala ya Sitta, mkakati mpya ni kumuongeza Kinana katika list hiyo hapo juu pamoja na msindikizaji, Philip Marmo, aliyepoteza Ubunge. Ndio maana Kinana na Makamba wamefanya vikao na waandishi kwa siku moja lakini maeneo tofauti, wote wakionyesha CCM imeshashinda na sasa wanatafuta Spika. Kinana alitamba CCM kupata ushindi wakati Makamba alitangaza kutolewa fomu za Uspika. Sitta ajiangalie, hawa jamaa hawajamsamehe, bado wana usongo naye sana, asingerudi nyuma.


Tumekwisha!!!! miaka mitano ijayo ni maumivu kwa watanzania.
 
hii Tanzania yetu na katiba ya zamani ndiyo inatuletea matatizo, rais anamchagua speaker wa bunge... hii lazima ifanyiwe kazi kuwe na kura wabunge wamchague speaker bila kujali chama

Whaaat?
 
Spika wa bunge lazima awe yule mtetea mafisadi ili kuua hoja za kuikosoa serikali zitakazoibuliwa kwenye upinzani, Sitta haeleweki eleweki nafikiri ajindaye kun'golewa na ni kweli anaweza pewa Kinana au Lowassa.

Pole sana ewe mtanzania kwani mafisadi wana nguvu za ajabu za giza, poleni wana igunga, monduli na Bariadi tunakuja kuongea na ninyi mtatuelewa tu.
 
Hawa jamaa hivi wamelogwa, mbona mawazo na matendo ya ni ya kuzimuni tu. Wakati viongozi thabiti wanawaza jinsi gani ya kutatua kero za wenye nchi, watz, wao wanawaza jinsi gani ya kulinda masilahi yao na kuwakandamiza zaidi watz! it is pity!:A S angry::A S angry::A S angry:
 
Kuna taarifa kwamba, baada ya kuona Lowassa na Chenge hawatafaa kupewa Uspika wa Bunge badala ya Sitta, mkakati mpya ni kumuongeza Kinana katika list hiyo hapo juu pamoja na msindikizaji, Philip Marmo, aliyepoteza Ubunge. Ndio maana Kinana na Makamba wamefanya vikao na waandishi kwa siku moja lakini maeneo tofauti, wote wakionyesha CCM imeshashinda na sasa wanatafuta Spika. Kinana alitamba CCM kupata ushindi wakati Makamba alitangaza kutolewa fomu za Uspika. Sitta ajiangalie, hawa jamaa hawajamsamehe, bado wana usongo naye sana, asingerudi nyuma.

Spika anapigiwa kura na wabunge na mtu yeyote ana haki ya kugombea. Kinana naye anayo haki ya kugombea u-Spika na tangia hapo aliongoza vizuri Bunge la East Africa Community.

Wale wanaotilia mashaka asili yake ya Kisomali wanaweza kufuatilia kujiridhisha kuhusu u-Tanzania wake vinginevyo nawaona kama 'makaburu' wabaguzi wa rangi.
 
Kinana ndio mpango mzima ,maana sasa hana kazi ingawa ni fisadi nae ana mali mingi mpaka meli anazo za mizigo ,binadamu haturidhiki anataka pia madaraka ...uspika mtamu ..kinawauma sitta kula raha wakati anawasimanga ...CCM unafiki ndio dili wakati sitta unafiki wake sio wa juu ki vile kama hao maamluki wengine ..Kinanaaaaa !utawaweza kina mnyika na tundu lisu ,...sheria zenyewe unazijua???ngoja tuone eti Kmati kuu ndio inachuja majina ..unaijua kamati kuu wewe! Big Samaki wa chama ...ngoja tuone ..lakini wengi watamtetea sitta ...maana ana mvuto zaidi ya hao maamluki
 
hii Tanzania yetu na katiba ya zamani ndiyo inatuletea matatizo, rais anamchagua speaker wa bunge... hii lazima ifanyiwe kazi kuwe na kura wabunge wamchague speaker bila kujali chama

Usiongelee Tanzania hapa, ongelea CCM.
 
Ibara ya 84 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya 1977 inasema mtu yeyote mwenye sifa ya kuwa mbunge anaweza kugombea Uspika. Sasa hapa ndipo utakapoona ubovu wa katiba yetu.
 
Kinana ni Fisadi Alichukua vifaa vya hospital ya A-town na kutengeneza dry cleaner centre yake kashifa hii na Usomali ilimfanya kuwa hana sifa ya kuwa Mbunge wa A-town
 
Hakudhubutu Kuchukua Fomu baada ya watu kuhoji Uraia wake mimi namfahamu fika hapa A-town
 
Spika anayemaliza muda wake wa Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta amechukua fomu ya kugombea tena nafasi hiyo kwenye uchaguzi utakaofanyika Dodoma wiki ijayo.

Spika Sitta amechukua fomu hiyo kupitia chama chake, CCM katika ofisi ndogo za CCM Lumumba, Dar es Salaam na kuijaza kisha kuirudisha leo hii baada ya kukamilisha masharti yote.

kwa Mujibu wa ibara ya 84 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, chama chochote cha siasa kilichosajiliwa kina haki ya kushiriki katika Uchaguzi wa Spika kwa kumpendekeza mwananchama wake mmoja ambaye ni Mbunge au asiye Mbunge mwenye sifa za kuwa Mbunge kuwa Mgombea wa nafasi hiyo.


from: Samuel Sitta achukua fomu kugombea Uspika -
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom