The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Al shabaab hadi Bungeni! na bado kuna watu watatetea hilo?
Lol!!! Lol!!! Lol!!! Lol!!!
Al shabaab hadi Bungeni! na bado kuna watu watatetea hilo?
Kuna taarifa kwamba, baada ya kuona Lowassa na Chenge hawatafaa kupewa Uspika wa Bunge badala ya Sitta, mkakati mpya ni kumuongeza Kinana katika list hiyo hapo juu pamoja na msindikizaji, Philip Marmo, aliyepoteza Ubunge. Ndio maana Kinana na Makamba wamefanya vikao na waandishi kwa siku moja lakini maeneo tofauti, wote wakionyesha CCM imeshashinda na sasa wanatafuta Spika. Kinana alitamba CCM kupata ushindi wakati Makamba alitangaza kutolewa fomu za Uspika. Sitta ajiangalie, hawa jamaa hawajamsamehe, bado wana usongo naye sana, asingerudi nyuma.
Kuna taarifa kwamba, baada ya kuona Lowassa na Chenge hawatafaa kupewa Uspika wa Bunge badala ya Sitta, mkakati mpya ni kumuongeza Kinana katika list hiyo hapo juu pamoja na msindikizaji, Philip Marmo, aliyepoteza Ubunge. Ndio maana Kinana na Makamba wamefanya vikao na waandishi kwa siku moja lakini maeneo tofauti, wote wakionyesha CCM imeshashinda na sasa wanatafuta Spika. Kinana alitamba CCM kupata ushindi wakati Makamba alitangaza kutolewa fomu za Uspika. Sitta ajiangalie, hawa jamaa hawajamsamehe, bado wana usongo naye sana, asingerudi nyuma.
hii Tanzania yetu na katiba ya zamani ndiyo inatuletea matatizo, rais anamchagua speaker wa bunge... hii lazima ifanyiwe kazi kuwe na kura wabunge wamchague speaker bila kujali chama
Kuna taarifa kwamba, baada ya kuona Lowassa na Chenge hawatafaa kupewa Uspika wa Bunge badala ya Sitta, mkakati mpya ni kumuongeza Kinana katika list hiyo hapo juu pamoja na msindikizaji, Philip Marmo, aliyepoteza Ubunge. Ndio maana Kinana na Makamba wamefanya vikao na waandishi kwa siku moja lakini maeneo tofauti, wote wakionyesha CCM imeshashinda na sasa wanatafuta Spika. Kinana alitamba CCM kupata ushindi wakati Makamba alitangaza kutolewa fomu za Uspika. Sitta ajiangalie, hawa jamaa hawajamsamehe, bado wana usongo naye sana, asingerudi nyuma.
Spika ni shuti awe mbunge FULL STOP
hii Tanzania yetu na katiba ya zamani ndiyo inatuletea matatizo, rais anamchagua speaker wa bunge... hii lazima ifanyiwe kazi kuwe na kura wabunge wamchague speaker bila kujali chama
Whaaat?
Al shabaab hadi Bungeni! na bado kuna watu watatetea hilo?