Kwa habari niliyo pata kutoka pale wazo kiwanda cha cement inasemakana serikali saizi inaagiza cement kutoka nje kwa matunizi yao na kwa ile cement inayobakia wanampatia mhindi mmoja anaitwa Zakaria ambaye naye ufanya biashara kwa kuuzia watu.
Hizo ni taarifa nilizopewa na wafanya biashara niliowakuta pale Wazo wakilalamika kuwa cement imejaa kiwandani na wanunuzi hakuna kwa sababu serikali imejiingiza na swala la kuagiza cement ambapo serikali ilipaswa kuvipa nguvu viwanda vyetu na kutoa fursa kwa vijana kujipatia ajira.
Kwa mtu mwenye uelewa zaidi kuhusu jambo hili, ni vyema tukaliweka hapa na lijadiliwe na watanzania kujua ni kwa nini serikali ichukue jukumu la kuagiza cement wakati tuna viwanda hapa kwetu.
Hizo ni taarifa nilizopewa na wafanya biashara niliowakuta pale Wazo wakilalamika kuwa cement imejaa kiwandani na wanunuzi hakuna kwa sababu serikali imejiingiza na swala la kuagiza cement ambapo serikali ilipaswa kuvipa nguvu viwanda vyetu na kutoa fursa kwa vijana kujipatia ajira.
Kwa mtu mwenye uelewa zaidi kuhusu jambo hili, ni vyema tukaliweka hapa na lijadiliwe na watanzania kujua ni kwa nini serikali ichukue jukumu la kuagiza cement wakati tuna viwanda hapa kwetu.