mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
habari wana JF kuna tetesi kwamba huyu anaejiita mtoto wa kulima anamiliki hisa za kutosha tu katika kampuni ya mabasi ya SUMRY yanayofanya safari zao karibu mikoa yote ya Tanzania kupitia kampuni iitwayo one move.
jamani wana JF hivi mtu huyu akaunti yake inaweza kuwa na vimilioni hivo vichache ambavyo alivitaja?
aaaaaaaaaaaahhhhgh nae ni fisadi tu.
nakabidhi.
jamani wana JF hivi mtu huyu akaunti yake inaweza kuwa na vimilioni hivo vichache ambavyo alivitaja?
aaaaaaaaaaaahhhhgh nae ni fisadi tu.
nakabidhi.