Wengi wanasema wanachafua mazingira, kwanza kwa nguo chafuchafu wanazojivika,pili kwa kutupa ovyo masalio mbalimbali kama ya vyakula, 'makopo',mabox n.k
Wapo wanaowaangalia kama wavivu wanaokimbia kujishughulisha.Watoto wa ombaomba wataishia kuwa kama wazazi wao.Hili kundi pia liko kwenye hatari mbalimbali ikiwemo maambukizi ya magonjwa sugu kama ukimwi, kubakwa na kulawitiwa n.k
Ombaomba wengi ni wagogo, ukipita mitaa ya by road dodoma utashangaa kuona mabox na railon zilizounganishwa mifano ya vijumba vibovu.
Lakini hasa tatizo ni nini? umasikini? upofu wa macho ?au?
Wadau nini kifanyike kwa hawa watu? tuwachangishie michango? itasaidia?
jitihada za makamba wakati ule hazikuzaa matunda, kandoro mambo yakamshinda, sijui mambo yakoje huko leo! ila manispaa nyingi kama morogoro hata dodoma kwenyewe hawa jamaa wapo tele
Wapo wanaowaangalia kama wavivu wanaokimbia kujishughulisha.Watoto wa ombaomba wataishia kuwa kama wazazi wao.Hili kundi pia liko kwenye hatari mbalimbali ikiwemo maambukizi ya magonjwa sugu kama ukimwi, kubakwa na kulawitiwa n.k
Ombaomba wengi ni wagogo, ukipita mitaa ya by road dodoma utashangaa kuona mabox na railon zilizounganishwa mifano ya vijumba vibovu.
Lakini hasa tatizo ni nini? umasikini? upofu wa macho ?au?
Wadau nini kifanyike kwa hawa watu? tuwachangishie michango? itasaidia?
jitihada za makamba wakati ule hazikuzaa matunda, kandoro mambo yakamshinda, sijui mambo yakoje huko leo! ila manispaa nyingi kama morogoro hata dodoma kwenyewe hawa jamaa wapo tele