Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
achen iyo kidin ni dhamb,kibaiolojia uyo mwanamke atakuja pata matatzo wakat wa kuzaa kama unabsha waulize ma dr wa zbar
Tupa kule mkuu, hata mimi imewahi kunitokea tena kwa kasichana kadogo sana ambako nilidhani nitakaoa lakini kaliponiambia nibwie kisanvu cha kopo nikarusha kule na kukaambia kila mtu nyama yake
Unamwongopea nani wewe? Ungeachia ya kasichana? Huna lolote nafsi yako inakuwa inakusuta!.