Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wandugu,
Eti inasemekana wanawake wembamba wanapata mimba kirahisi kuliko ilivyo kwa wanawake wanene. Hii ina ukweli kiasi kiasi gani na kama ni kweli, sababu yake ni nini???
Eti inasemekana wanawake wembamba wanapata mimba kirahisi kuliko ilivyo kwa wanawake wanene. Hii ina ukweli kiasi kiasi gani na kama ni kweli, sababu yake ni nini???