Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,142
- 13,216
Jamani huku tunakoelea sasa kisoka siko, mchezaji anadai milioni 7 kwa mwezi, kocha anadai dola elfu 10, hivi mpira wa Tz unaelekea wapi? na hawa wazalendo watabaki kulipwa laki 8? huu urari wa malipo ni haki na sawa? Mf Kiemba ana goli 4 analipwa laki 8, Sunzu ana goli 3 analipwa milioni 5 unusu duh!! wacheni Boban acheze mchanganiii.....wacheni Nyoso atoe maboko, wacheni Ngasa anyimwe pasi.............wacheni Kaseja aruke hovyoooo........