Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
E? kwaheriProfesa maji Marefu anauza dawa za mapenzi, je alizijuaje kama yeye hajui mapenzi?
E? kwaheriProfesa maji Marefu anauza dawa za mapenzi, je alizijuaje kama yeye hajui mapenzi?
Nasubiri zawadi ya mwaka mpya maana X-mas imepita naona kimya bora nijiombee sasa.Na ukinipa thamaki nitashukuru sana na itakuwa zawadi nzuri kabisa kuanzia mwaka.
Haya dada na wewe asante kwa niaba yangu kwa kuappreciate msaada wa paka mweusi pouwa ndo uungwana huo senkyu dada......tehe tehe tehe tehe ...
OYAAAA WAUNGWANA SHWARIII.
EBWANAE HII MI NIMESIKIA TU ILA SINA UHAKIKA ''ETI NI KWELI KWAMBA WASOMI WENGI HASA WALIOKWENDA MPAKA NGAZI YA UPROFESSOR NI WABOVU KWENYE MAMBO FLANI ?" NDIO MAANA HATA WAKE ZAO WANAPENDA KUTOKA NJE, NYIE MNASEMAJE WAUNGWANA??
ETI UKIPIGA BUKU KWA SANA AKILI INACHOKA NA KAMA AKILI IKICHOKA NA MWILI UNAKUWA DHAIFU HASA KATIKA MAMBO YA MAPENZI JAMANI HII NI KWELI? MSAADA....
tHE mAn FrOm No WhErE.............
Ni kwa maprofesa wa kiume tu au na wakike pia!? Lakini lililo wazi ni kuwa maprofesa wa kike huwa hawajipendi sana, yaani ile kujiremba remba kike wao huwa wanalipua tu.
hamna shaka
ntakupa samak mwenye magamba na asiye na magamba pia!!!!!!
Ni kweli. Hawana muda wa kuhang na totoz ili kuongeza ujuzi pande hizo. Wengi wakishazeeka ndio wanaona wana muda kwahiyo wanaanza ufataki.