Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Naomba nitafsiri hapa: sasa hiyo ndiyo tuyoiita Hekima.
Mkuu wisdom ni busara sio hekima.
Naomba nitafsiri hapa: sasa hiyo ndiyo tuyoiita Hekima.
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
QUOTE]
Jamani shemeji sijui mpenzi...... ( hili halijatatuliwa na tarehe kumi countdown tayari eti))) wacha aibu ndogo ndogo.... mie mtoto mzuri kitambi labda cha sima!!!!!
B hakuiba mimi ndo nilidandia maana mlizidi kujifanya wajuaji wewe, Bigirita, na Nguli......hili HAIWEZEKANI...umeiba pwd ya bht ama vipi....apo tu kwanza
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze ?
Sababu 5 kwanini siwezi kosa kanisani juma2!
1. Ni Makamu M/kiti wa Jumuia ya Mt. Marko.
2.Kwa cheo hicho hapo juu, naingia kwenye Kamati-Tendaji ya Kigango moja kwa moja!
3.Ni msomaji masomo ya kila juma2 Kigangoni.
4.Ni Mratibu wa Idara ya Miito Parokiani
5.Ni baba mzuri nnayependa future njema ya kiimani ya wanangu.
Mh. Chrispin Swali la Nyongeza?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
kwa niaba ya Xpin naomba nimshukuru biggy kwa majibu mazuri ambayo yapo kinyume kabisa na swali la msingi na yenye ukweli mtupu ndani yake
mi najiuliza hivi kwa nini Binamu yangu wa damu anisuse kiasi hiki tena ghafla??afu B nimekutafuta sijakupata ....nitajaribu baadaye kidogo...mic u
Chrispin its easy for me to express myself kiblurey than kiswahili blame mwalimu wangu wakiswahili... halafu Masaki na bht hawataki kunisaidia ku improve kiswahili... labda wewe unisaidie kuwa convince...
Mi nataka unifundishe twisheni ya Kiblurey
tatizo tutagongana sana kwenye lugha maana mie kibluray not richabo hapa
labda Masaki awe kiunganishi kwa hapo tu ntakuwa wa msaada kwako shostito....
Mimi naona KISWAHILI uko DEEP zaidi ya Kiingereza.
Hahaha! Kiongozi hebu do the needful hapo. Inaelekea TUKI is not richabo....mimi naona noname uwe mwalimu wa KISWAHILI wa JF
bht ndiye mwalimu wako rasmi, mimi ni msaidizi wake! Hata hivyo ujumbe wako huwa unafika vizuri tu kwa walengwa hata kwa lugha hiyo ya malkia.
Tarehe kumi si mbali. Ngoja nianze kuhesabu. Sijapata kadi mpaka sasa ujue.........Jamani shemeji sijui mpenzi...... ( hili halijatatuliwa na tarehe kumi countdown tayari eti))) wacha aibu ndogo ndogo.... mie mtoto mzuri kitambi labda cha sima!!!!!
Triplets: Kama ungekuwa nesi/daktari, usingeogopa kuchoma sindano njemba yenye vinyweleo mpaka makalioni?hongera Chrispin, inaelekea unawajua kweli binamu zako humu JF...ha haaa!
Hakuna swali la nyongeza.Sababu 5 kwanini siwezi kosa kanisani juma2!
1. Ni Makamu M/kiti wa Jumuia ya Mt. Marko.
2.Kwa cheo hicho hapo juu, naingia kwenye Kamati-Tendaji ya Kigango moja kwa moja!
3.Ni msomaji masomo ya kila juma2 Kigangoni.
4.Ni Mratibu wa Idara ya Miito Parokiani
5.Ni baba mzuri nnayependa future njema ya kiimani ya wanangu.
Matunda ya safari za Arusha yanaanza kuonekana hommie. Tutakutana kwa ankal kujadili hili!Mh. Chrispin Swali la Nyongeza?
Thats Mamushka. Ntahakikisha hupati safari za Arusha.kwa niaba ya Xpin naomba nimshukuru biggy kwa majibu mazuri ambayo yapo kinyume kabisa na swali la msingi na yenye ukweli mtupu ndani yake
Hapa sasa ndipo sina tena swali la nyongeza.duh mkuu, naona umepiga hasa.......... mambo karibia yanahitimishwa........ walau kwa sasa sina hofu ya kupokwa na wapwaaz, huko nyuma kidogo kweli nilikuwa na kahofu kidokgo, ila sasa yuko mikononi mwangu 100%.............. teh tih.............
kuhusu lulu wangu kulazimika kuwa ofcn ili a-access JF, nimekwishamfikishia hilo swali, na bado tunajadili, hope tutakuja na jibu soon............
lakini hata mimi huwa najiuliza kuhusu ulilouliza kumhusu noname........ kuna wakati huwa najaribu kumjibu kwa kidhungu nikihisi labda atanielewa vizuri............ kuna haja ya kumfanya utafiti wa kina kujua kulikoni kidhungu kikamkaa moyoni kiasi iki?............ hahaaa, ni mtazamo tu................
Najaribu kusoma katikati ya hizi posts.
Hangover ikiisha nta do the needful. Saizi niko busy kuwagongeeni SENKSI fo ziz yuzifuli postiz.
Tarehe kama hizi huwa nafanya miksa ya bia na valeur. Ikifika katikati ya mwezi, bia zinakula ban naendelea na valeur peke yake.bana biggy unachelewa kurudi back to normal bana, kwani jana ulikunywa nini??
Tarehe kama hizi huwa nafanya miksa ya bia na valeur. Ikifika katikati ya mwezi, bia zinakula ban naendelea na valeur peke yake.
Tatizo linaibuka kama hivi sasa. Unapiga miksa afu unasahau kula![/QUOTE]
Kwanza kakague,
Pili, sio unasahau kula, UNASAHAU KAMA UMEKULA AU HUJALA...........then una-conclude kwamba lazima ulikula, kumbe hukula.
Nimeona mkuu!Kwanza kakague,
Pili, sio unasahau kula, UNASAHAU KAMA UMEKULA AU HUJALA...........then una-conclude kwamba lazima ulikula, kumbe hukula.
Mkuu niligundua nikiwa pale kona bar, nimetoka kunyoa nikaona ni-do ze needful pale mapemaaa!! si nakaona watu wanapita na matawi, wametoka church.Nimeona mkuu!
Hapo kwenye red huna haja ya kukagua. Guaranteed!
Nimecheka mpaka watu wananiona chizi hapa. Hivi unajua jana ilikuwa Jumapili ya Matawi?
Tarehe kama hizi huwa nafanya miksa ya bia na valeur. Ikifika katikati ya mwezi, bia zinakula ban naendelea na valeur peke yake.
Tatizo linaibuka kama hivi sasa. Unapiga miksa afu unasahau kula!
Nimeona mkuu!
Hapo kwenye red huna haja ya kukagua. Guaranteed!
Nimecheka mpaka watu wananiona chizi hapa. Hivi unajua jana ilikuwa Jumapili ya Matawi?