Eti ni Haki yake Maalim Seif Kutibiwa nje ya nchi

muhosni

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
1,108
152
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.

ITV Habari
 
Eeh, bwana eee! Ni yaki yake. Mwache naye atulie kwenye kivuli baada ya kusota juani kwa miaka mingi.
 
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.

ITV Habari

Ni kweli
 
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.

ITV Habari

Duh sasa viongozi wote wakibeba familia si itakuwa balaa?
maana najua hapo Maalim lazima ana wake si chini ya wawili watoto ...
 
Kwanini wasijenge hospitali hapa tutibiwe wote?

Kumbe wanasiasa wanaumwa sana eh?Maana wakipata nafasi tu serikalini ndo haoo kutibiwa!

Hivi ni lini mara ya mwisho nimesikia kiongozi be it raisi au wabunge wanaumwa wakaenda kutibiwa muhimbili au bugando,kcmc nk?

Hizi hospitali ndo maana huduma mbaya maana wao hawatibiwi huko
 
Sisi Mwananyamala wao Ughaibuni! Dr. Slaa Muhimbili, sasa natambua kuwa hayuko nasi, whoever is not with us is with them. CCM NEW CADRE
 
Jamani, mfumo mzima ni mbovu...Tusimlaumu maalim peke yake, of course kwa mujibu wa katiba yuko entitled!!
Nadhani angekuwapo nchini toka mwanzo angeshaenda zake Samunge!
 
Kimsingi hakuna tatizo kutibiwa popote kulingana na uwezo wa mtu. Tatizo la Maalim nadhani ni lugha aliyotumia kueleza hiyo airport Zenj haikuwa nzuri. Ni tatizo la namna ya kufikisha ujumbe. Alichopaswa pale airport ni kutoa shukrani kwa mwenyezi Mungu na wananchi wote wa Zenj kwa kumwombea apone. Badala yake alianza kutamba. Nadhani alivyozungumza inakera.
 
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.

ITV Habari

Lakini mbona yeye alikuwa akiponda wenzie wasitibiwe nje akisema ni mis-useful ya resource na katika kampeni zake alikuwa akisema kinachotakiwa ni kuimarisha sekta ya afya ili hata viongozi watibiwe kulekule zenj, yameishia wapi haya! SIYAAASA SIHASA!!!?
 
Si aende kwa babu Loliondo? Ulaya kuna nini mbona wenzie wanakufa tu huko-asiogope na aende tu loliondo hakuna dola kule only 500 kwishney, mbona akina shehe shamsi wanapitapita huko
 
Kimsingi hakuna tatizo kutibiwa popote kulingana na uwezo wa mtu. Tatizo la Maalim nadhani ni lugha aliyotumia kueleza hiyo airport Zenj haikuwa nzuri. Ni tatizo la namna ya kufikisha ujumbe. Alichopaswa pale airport ni kutoa shukrani kwa mwenyezi Mungu na wananchi wote wa Zenj kwa kumwombea apone. Badala yake alianza kutamba. Nadhani alivyozungumza inakera.


Kwa uwezo upi? ANATUMIA KODI ZETU
 
Lakini mbona yeye alikuwa akiponda wenzie wasitibiwe nje akisema ni mis-useful ya resource na katika kampeni zake alikuwa akisema kinachotakiwa ni kuimarisha sekta ya afya ili hata viongozi watibiwe kulekule zenj, yameishia wapi haya! SIYAAASA SIHASA!!!?

Zenj sekta ya afya haijawa imara mkuu.
 
Zenj ni nchi inayojitegemea na mipaka yake inatambulika kimataifa, mimi siijui sijawahi kuisoma katiba yao kama ambavyo sijawahi kuisoma katiba ya taifa langu nilipendalo TANGANYIKA nina ya tanzania tu.

Watajua wao na nchi yao...
 
Hao ndio viongozi wa Afrika baada ya kuonjeshwa umakamu wa rais na lugha amebadili imekuwa ni haki yake kutibiwa nje sababu yeye ni kiongozi, Wa TZ tuamke tatizo si chama yaani CCM,CDM.CUF.TLP,NCCR, nk tatizo la TZ ni uongozi, je tuna viongozi bora wanaojali maslahi ya taifa na jamii nzima ya waTZ, majibu kichwani mwetu huo ndo upande wa pili wa SEIF
 
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.

ITV Habari

hahaa ndo siasa hiyo kila mtu anatafuta mkate.wacha ale nchi alichokitaka amepata.niliwahi kumsikia prof lipumba akishutumu ccm kwa viongozi wake hata wakiumwa mafua tu wanakwenda nje,kulikoni seif?so life style hata cdm wakipata watakwenda hamna shaka huo ndo ukweli.
 
Tunahitaji uzalendo katika nchi hii. Miaka 50 ya uhuru wa bendera sasa inatosha.
Watanzania tuweke misingi imara ya taifa letu kwa kuhakikisha kuwa katiba inatungwa upya na kuweka misingi imara ya demokrasia, maadili ya uongozi, uwajibikaji na haki sawa kwa wote....vinginevyo tutatumia miaka mingine 50 kwa malumbano..
 
Wacheni unafikii,,maalim kwa mara yake ya kwanza mimi kufahamu kuwa anasumbuliwa baada ya siku ya maridhiano baina ya ccm na cuf zanzibar,aliumwa sana alilazwa kule muhimbili au munabisha ?

Hali yake haikuwa nzurii,alienda india kwa sababu mambo ya afya india ni mazuri na wana madoctor wazuri sana,sasa nawaambia kuwa india huwenda watu binafsi binafsi wala sio viongozi,,na gahrama zao sio kubwa hivyoo inategemea na ugonjwaa,,,

Ni haki yale kuenda popote pale,yule maalim seif alikuwa waziro kiongozi toka abudu jumbe alipokuwa rais,na seif ni mstaafu wa serikalii,analindwa kiserikali hata kabla ya kuingia madarakani tena ,,kwa hiyo lazima mueleweee,,
 
Afya uzeeni ni gharama sana hapa tz. Ni gharama za afya ndo zilimfanfa mrema ale matapishi yake, akakosa aibu, akampigia jk debe badala ya mgombea wa chama chake
 
Ni haki ya kila mtanzania siyo yake peke yake.........................................
 
Back
Top Bottom