Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.
ITV Habari
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.
ITV Habari
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.
ITV Habari
Kimsingi hakuna tatizo kutibiwa popote kulingana na uwezo wa mtu. Tatizo la Maalim nadhani ni lugha aliyotumia kueleza hiyo airport Zenj haikuwa nzuri. Ni tatizo la namna ya kufikisha ujumbe. Alichopaswa pale airport ni kutoa shukrani kwa mwenyezi Mungu na wananchi wote wa Zenj kwa kumwombea apone. Badala yake alianza kutamba. Nadhani alivyozungumza inakera.
Lakini mbona yeye alikuwa akiponda wenzie wasitibiwe nje akisema ni mis-useful ya resource na katika kampeni zake alikuwa akisema kinachotakiwa ni kuimarisha sekta ya afya ili hata viongozi watibiwe kulekule zenj, yameishia wapi haya! SIYAAASA SIHASA!!!?
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze kuhudumia wananchi.
ITV Habari