Eti ngeleja kupokewa kifalme!

mageuzi1992

JF-Expert Member
Apr 9, 2010
2,503
252
Leo katika gazeti la majira nimesoma habari inayohusu mh ngeleja kupokewa kifalme huko kwao sengerema!!. Mwandishi wa gazeti ameandika kwamba uongozi wa ccm sengerema umemuandalia maandamano na mapokezi makubwa mh ngeleja...mapokezi hayo yameitwa ya kifalme!!1. Lengo eti kuthamini mchango wake!!. Habari imeenda mbali kwa kusema kuwa mjumbe wa ccm amesema eti kuondolewa kwa ngeleja ni chuki binafsi!!! Sasa mimi nabaki najiuliza hivi kumbe ccm wamekuwa na mchezo wa kuleana eh! Ndioa maana pamoja na kashfa zote hawa wajumbe wa ccm sengerema wanataka kumtukuza ngeleja kama mfalme!!! Aibu hii tena aibu sana mimi nazani hawa wajumbe wamepotoka kabisa!
 
watanzania wengine hawajielewi,kuna mambo ya kusifia na mambo ya kulaani,sijaona ushujaa wa Ngeleja
 
Ndio maana kila siku nasema kuwa mwanachama wa hii CCM ni aibu binafsi. Madhara yaliyosababishwa na Ngereja akiwa waziri yanamgusa mtu mmoja mmoja na taifa kwa jumla na hilo halihitaji elimu hata ya ngumbaru kulielewa.
Sasa hawa Wana CCM wa Sengerema hawana hata hiyo elimu ya ngumbaru?
 
Leo katika gazeti la majira nimesoma habari inayohusu mh ngeleja kupokewa kifalme huko kwao sengerema!!. Mwandishi wa gazeti ameandika kwamba uongozi wa ccm sengerema umemuandalia maandamano na mapokezi makubwa mh ngeleja...mapokezi hayo yameitwa ya kifalme!!1. Lengo eti kuthamini mchango wake!!. Habari imeenda mbali kwa kusema kuwa mjumbe wa ccm amesema eti kuondolewa kwa ngeleja ni chuki binafsi!!! Sasa mimi nabaki najiuliza hivi kumbe ccm wamekuwa na mchezo wa kuleana eh! Ndioa maana pamoja na kashfa zote hawa wajumbe wa ccm sengerema wanataka kumtukuza ngeleja kama mfalme!!! Aibu hii tena aibu sana mimi nazani hawa wajumbe wamepotoka kabisa!
Mama wee! Kweli yule jamaa aliyesema ilikuwa graduation ya institute of corruption alipatia kabisa. Sasa kibushuti anakwenda kupokolewa na CCM wenzake baada ya ku-graduate na kutoka na Phd ya uzembe, uvivu na ufisadi.
 
Back
Top Bottom