Eti napendwa tena...

Jambo la kwanza inaonyesha kwa sasa wewe humpendi tena huyo binti. Mi nakushauri ukae upime upendo wako kwake, kama upendo umeisha ghafla mwambie ukweli na uachane nae.
2. Kama bado unampenda, kupenda pesa na kwenda disco siyo tatizo la kimsingi. Anapendaje pesa? Je, anaomba pesa kwa wanaume wengine? au anakuomba wewe? kama anakuomba wewe na inapilitiza basi kaa chini umulize pesa anazoomba anafanyia nini? hilo ni jambo dogo tu, hata hivyo kila mtu anapenda pesa coz ndiyo maisha yenyewe. Kuhusu kwenda disco ni hobby tuu hiyo na ina rika lake, kama haendi disco kwa mabaya (kutafuta wanaume) hapo hakuna tatizo. Wangapi wanaenda disco bana au unamtafutia sababu za kumpiga chini?
3. Wewe ulimpenda wakati ukiwa mdogo, ila baada ya kupotezana na kuonana baadae ulimtamani tu. Sasa umekuta mambo uliyokua unatarajia hayapo unataka kukimbia. Mwambie ukweli na muachane kwa amani kama mlivyokubaliana kupendana.

Mkuu umenena vyema sana, natakiwa nchukue uliyoyasema niyafanyie kazi. Shukrani
 
Cjawah kulalamika juu yake zaid anapofanya kosa hua nachunguza then nakaa nae chini namueleza, ila mm inapotokea katuma meseji cjamjibu, kabip cjapga na kaomba salio cjam2mia n kosa na itakua kesi cku nzma.
Kuacha mtu sio solution,
Ww mwanaume lzm utimize majukumu yako kweli kweli sio vihela vya vocha na outing unalalamika,mwanamke garama km huji,
N km kweli ww ni mwanaume na si mvulana,ni lzm uwe na misimamo ya kiume sio unayumbishwa kidogo unaanza kulala mika na hujui cha kuamua,
Weka misimamo kwenye mambo ambayo hutaki na yawe ya msingi,na km huyo bidada anakupenda kweli atatii na kufuata utakavyo,
Ila km ww umemzoesha akibi unapiga,akiomba salio unatuma sasa unataka abadilike gafla unakosea kaa naye sema naye na muelewane!!
 
nmepita 2 hku leo ila naomba ushauri kwa wana Jf. Kuna msichna nlitokea kumpenda toka mara ya kwanza kupata kukutana nae {2005}, ila 2kaja kupotezana nae had nmekuja kuonana nae tena hivi karbuni {2009}, 2kaanza mahusiano nae na katka mazungumzo ye2 ya mwanzo akaomba nisije kumuumiza kwan alishaumizwa sana awali nami ckuwa na hiyana na hlo. Chakushangaza ss n kwamba 2kiendlea na mahusiano kuna vtabia ckuwa napendezwa navyo na nlikua nkmwambia lakn naona bado haelewi mwsho wa cku nkampga stop kwa mda kuja kwangu 7bu ya hvyo vitabia na nkamwambia cwez kuoa mtu wa tabia ile, akanijibu kwmb hta yeye hajafkiria kuolewa na mm kwa ss lakn baada ya mda kdogo kupita akaanza kuomba msamaha eti turudiane nae na ananipenda sana na ameshakuja kwangu mara kadhaa akitaka nim-doo ila nkamkatalia lakn bdo simu na meseji haziachi kumiminika kunitaka tena. Nisaidieni nfanyeje au niamuaje mie kuhusu huyu mtu.

wanaume tumebaki wachache saana!!...mbona kama ulishafanya maamuzi mkuu?...epuka kuamua baada ya kuamua
 
Anapenda sana hela na matumizi mabaya ya fedha, anapenda sana kwenda disco, anapenda kulaumu vitu visivyo vya msingi na vngnevyo

hivyo vitu ndio vilivyomfanya atendwe ma frenz mkuu toka nduki sana sawa mkuu tciaoooo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom