Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Baada ya Mzee Makamba - Katibu Mkuu mstaafu wa CCM kumshambulia Mukama - Katibu Mkuu wa sasa wa CCM kuwa ameshindwa kujenga mshikamano ndani ya CCM na pia Mjumbe wa NEC wa CCM Mhe Lowasa kusema hadharani huko Mto wa Mbu kuwa tatizo la CCM ni uongozi, Nape na Mukama wameibuka na kusema kuwa Makamba na Lowasa ni wavivu kufikiri!
Tafakari!
Tafakari!