Eti Mwanamke sura makalio hata kwa mchina yapo....lol!

Hazija pita hata wiki mbili huu msemo ulinigharimu sana.

Kibaruani walikuwa wanapiga story wanaongelea makalio, mie nae bila kufikiri nikadakia ' mwanamke sura makalio kwa mchina' sikuwaza zliyekuwa anaongea ana makalio makubwa afu sura ya kufunika na mto kwanza ndo umalize.

Nilikuwa kama nimemkalisha kwenye tuthipick, alilalama yule dada kwa saa nzima. Mie nikakaa kimya kama nimekata kauli, kuanzia siku hiyo siutaki tena huu msemo.
 
Mh! Ila shape nayo muhimu. Sura japo iwe ya kiasi tu, isiwe km hiyo ya kufunika mto ndo umalize.
 
Hazija pita hata wiki mbili huu msemo ulinigharimu sana.

Kibaruani walikuwa wanapiga story wanaongelea makalio, mie nae bila kufikiri nikadakia ' mwanamke sura makalio kwa mchina' sikuwaza zliyekuwa anaongea ana makalio makubwa afu sura ya kufunika na mto kwanza ndo umalize.

Nilikuwa kama nimemkalisha kwenye tuthipick, alilalama yule dada kwa saa nzima. Mie nikakaa kimya kama nimekata kauli, kuanzia siku hiyo siutaki tena huu msemo.

ahhahha..offcourse hapo lazima umaindiwe
 
hahahahaha! wengine wanasema ''mwanamke ziwa, kalio hata baba yako analo'', mmmh!
 
Back
Top Bottom