Hapa naona dalili za watu kupopomolewa na viatu.
Komaeni nao mpaka wajue kuwa hii nchi si yao peke yao, sisi tushapoteza ndugu zetu tunauchungu nao sanawatajuta kutudharau....yaani wangetusikiliza mwanzoooooni tusingefikia uamuzi huu
watajuta kutudharau....yaani wangetusikiliza mwanzoooooni tusingefikia uamuzi huu
kwanini msingewafukuza? agrrrrrrrrhhhh!!!!
Na ni kwanini pinda asiongee nao anaogopa nini km na yeye si mnafiki?