Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
Sasa kuna hii ishu ya kuwa na mtoto wa kiume halafu akawa ma poda, a.k.a Mteja, si unajua mbilinge za kulea kijana homu?
......haya...
..au ukazaa dume lako mwenyewe ukaanza kujibosti kwamba umepata dume, ...siku mbili tatu unaanza kusikia watu wanakula mzigo. We ulizaa dume lakini mwenzako kumbe alitaka kuwa demu, anaanza kuleta zile za kuleta shebendu na mambo mengine dizaini hizo, mara kakuletea dume mwenzake anamuita boifrendi. Hapa ipi ina afadhali mwanangu mwenyewe? Bora kuwa na mtoto bwabwa au mteja?
(NIME NUKUU GAZETI LA MWANANCHI MAKALA YA ZEE LA NYETI)
......haya...
..au ukazaa dume lako mwenyewe ukaanza kujibosti kwamba umepata dume, ...siku mbili tatu unaanza kusikia watu wanakula mzigo. We ulizaa dume lakini mwenzako kumbe alitaka kuwa demu, anaanza kuleta zile za kuleta shebendu na mambo mengine dizaini hizo, mara kakuletea dume mwenzake anamuita boifrendi. Hapa ipi ina afadhali mwanangu mwenyewe? Bora kuwa na mtoto bwabwa au mteja?
(NIME NUKUU GAZETI LA MWANANCHI MAKALA YA ZEE LA NYETI)