Wakuu,
tafadhalini nipeni ushauri wa kibiashara.eti kwa mtaji wa shilingi milioni tano naweza kufanya biashara gani hapa dar?
nitafurahi sana kama nikielezwa hata kwa kifupi inalipa vipi hyo biashara.
nahitaji msaada wenu tafadhali.
Wakuu,
tafadhalini nipeni ushauri wa kibiashara.eti kwa mtaji wa shilingi milioni tano naweza kufanya biashara gani hapa dar?
nitafurahi sana kama nikielezwa hata kwa kifupi inalipa vipi hyo biashara.
nahitaji msaada wenu tafadhali.
Mkuu mimi nadhani unge sema wewe uko na interest ya biashara gani, hapo ndio ingekua rahisi zaidi. Tafadhali usiogope speak out your mind.
yes ... thamani kubwa ya uwekezaji katika biashara ni business idea ambayo ipo feasible na idea mara nyingi huwa inatokana na interest za muhusika atakayefanya hiyo biashara ... pesa (financial resource) ni input kama ilivyo human/labour resource
jenga banda la kuku fuga kuku,wa nyama na wa mayai ,
unatakiwa ufuate ushauri wa wafugaji na watu wanaofuga,u can never go wrong,
ukiwa na kuku 500 tegemea around tray 10 za mayai,and for about 5,000 ni sawa na 50,000 per Day siyo mbaya ukitoa gharma za uendeshaji
unakuwa na kitu kama 35 per Day,so ndani ya siku mia utakuwa na 3,500,000 baada ya miezi 6 ya uzalishaji wa mayai utakuwa umerudish pesa yako na faida kiasi then unakula faida tu.
ujenzi wa banda ni around laki 7,the rest tembelea wafugaji wa karibu nawe,nimekujulisha anza na kuku wa nyama,hawa wanachukua muda mfupi,ukishazungusha round 3 hivi,unaaanza na ujenzi wa extension ya banda la kuku wa mayai,kwa kuwa wanakuwa taratibu mpaka waanze kutaga,unajenga taratibu pia,so unatumia mradi wa kuku wa nyama kulisha kuku wa mayai.wakishaanza kutaga wewe ni kulisha na kupata faida,kwani wakishaanza kutaga hawafi hovyo hovyo ,mkuu nakushukuru san, ila sasa mbona naona kama miloni 5 zitaishia katika ujenzi wa hilo banda tu! na wakati hua bado kuku nitawanunua kama vifaranga, mpaka waanze kuzalisha mayayi nitaendeshaje mradi??
hapa naomba experience kidogo mkubwa.
kama vile banda linagarim kiasi gani, kuku wangapi wakuanzia wakiwa katika umri gani?, itanichukua mda gani kuanza kuzalisha, garama za uendeshaji japo kwa siku.
ukinisaisia hii utaniweka kwenyw mwanga zaidi mkuu.
nakushukuru kwa mda wako.