Eti mi mchoyo

huna haja yakumnunulia wala kukwepa kwenda kupata kaulaji kako kwa ajiliyake.akikwambia wewe mchoyo mwambie huna ndio maana anakuona mchoyo.kwaniyeye nibarabara kwamba atakuzuia kupita?acha kua mdhaifu kwa hawa viumbe kiasihicho
 
Sio kikanisa tu, niko married hivyo nilikuwa na refer kwa wale visiting professors? kimsingi kama ni kweli analalamikia hilo atachemsha.


On behalf of your wife, I am so proud of your stance Sangarara... Mungu akubariki uwe hivo siku zote. Labda siku moja moja uwe unaenda na wife ili atambue kuwa unagawa kwa sana tu, ila kwa yule ambae umemridhia...

BTW on a serious note, Wanadamu hawana shukrani. Hata kama alikuwa anamaanisha wewe ni mchoyo wa pombe ilikuwa haina haja ya kumnunulia pombe siku zote hizo hali yeye hajafanya hivo na wala hana mpango.
 
duh honestly na mimi nna jirani mwanamke ananiambia hivyo hivyo
kila siku
Sangara unakaa Tegeta?
 
Yaani mie ndo hujanitumia salamu! Na bado, nitakusemelezea kwa kaka hadi ukome!
Mwaya mtoa mada, kama umemnunulia bia bado anakuita mchoyo, mkomoe umlipie kodi ya nyumba mwaka mzima. Kama keshajenga mjengee fence ama umnunulie ka-starlet!
hahaha! Nimecheka hadi raha... eti mambo yenu yale.. Wewe Sangarara wewe sio yako? au mwenzetu upo ki kanisa zaidi? BTW ndio nini kumbania mama wa watu? hebu acha uchoyo bana! lol

Samahani mimi naomba tu nitume salamu kwa HorsePower, Swts, WiseLady, mzabzab na Chauro nawasalimu with Love...
 
Last edited by a moderator:
Huo ushauri wako kiboko! hahaha! Starlet nasikia ina tafsiri yake ukipewa zawadi... Enways...

Wewe wifi King mbona leo una hasira sana na mimi? Kisa tu nimekataa kukuazima skin tight? sasa nifanyeje kama sweet wifi sweetlady kaibania? lol

Mie hao juu nimewasalimu walio post kwenye huu uzi, kama hivi sasa ninavotuma salamu with love kwa The Boss ili azifikishe na kwa alter wangu Roulette... lol
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa mimi..
next time nafika kwa ki grocery na girlfriend wangu/mdada yoyote asiyemfahamu mida ambayo najua atakuwepo,nikiona amerudi hako ka kauli ka uchoyo mbele ya huyo mdada nitajua huyu mmama ni chapombe,nikiona kapotezea nitajua alikuwa anamaanisha mambo mengine..na kwa kuwa mm huwa sitoki na wa maza(sijui wewe) nitamuonesha kwa vitendo na vimaneno maneno kuwa sina interest naye.
 
una lako unalitafuta kwa ivyo vibia vyako kwa uyo madam, na utakipata soon! kila la kheri!!
Huyu mmama ni jirani yangu wa muda mrefu sana,zaidi ya miaka mitano sasa, kwa kipindi chote hicho uhusiano wangu na yeye zaidi ya ujirani umekuwa ni salamu tu. Mwanzoni mwa mwezi huu nyumbani kwa jirani yetu mwingine imefunguliwa glocery hivo imekuwa kawaida yangu kwenda pale ama kupiga fundo la mwisho kabla sijaingia home, au kuuweka kabisa na kutandika castle rites zangu za baridi.

Glocery hii ndio imesababisha mimi na huyu mama kuwa karibu zaidi, sababu mara nyingi tunakutano hapo, karibia kila siku nikienda lazima nimkute anakula bata au yeye atanikuta, na kama kawaida tumekuwa tunasalimiana tu na mpaka sasa haijatokea tukakaa japo meza moja, sasa recently kaanza kunitupia shutma kwamba mimi mchoyo mimi mchoyo, nikafiriki anataka bia, juzi nimemkuta nikamsalimia alipomaliza kuitikia akaniambia lakini nipunguze uchoyo, nikamtupia bia mbili, jana nikamkuta tena akarudia hiyo kauli nikamuambia mi sio mchoyo sema serikali ya jakaya imeharibu uchumi akanambia namsingizia, nikajitoa muhanga nikamuambia basi ye anywe tu bill ntalipa mimi, jana tena nimekutana nae karudia kauli ile ile, as if sijamuonyesha uungwana na utoaji wangu hata mara moja.

Kuna mshikaji niliyekuwa naye nilimueleza hii kitu katika kujustify kumlipia bill yule mama, akacheka na kuniambia kweli nimebadirika. ndo nikafunguka, hivi inawezakana kweli huyu mama akawa anamaanisha namnyima mambo yenu yaleeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom