Kujipendekeza kubaya jamani. Leo nadhani mmeona kichwa cha habari gazeti la UHURU.
Nimejiuliza hivi, ili Gazeti lina mhariri mkuu? Kasoma wapi? Nani kawambia Ulimboka ni kinara wa mgomo? Ulimboka ni kiongozi wa Doctors' Assassination, anapresent wanachokubaliana madactari katika vikao rasmi. Binafsi nasikitika kuona watu wakipoteza maishasababu ya mgomo huu, lakini alichofanyiwa Dr. Uli, ni unyama unaolitia doa la damu bendera ya kijani ya CCM, ambao sikutegemea Gazeti na hasa la Chama tawala kuusherehekea. Nina wasiwasi na muandishi wa habari ile na hasa Mhariri Mkuu. JIPENDEKEZENI, najua ndo mnapopata kula, lakini mkumbuke na ka taaluma kidogo mlikosomea. Najua wengine hamkusomea mmepewa vyeo tu, lakini semina mmeenda. Jirekebisheni gazeti la UHURU.
Nimejiuliza hivi, ili Gazeti lina mhariri mkuu? Kasoma wapi? Nani kawambia Ulimboka ni kinara wa mgomo? Ulimboka ni kiongozi wa Doctors' Assassination, anapresent wanachokubaliana madactari katika vikao rasmi. Binafsi nasikitika kuona watu wakipoteza maishasababu ya mgomo huu, lakini alichofanyiwa Dr. Uli, ni unyama unaolitia doa la damu bendera ya kijani ya CCM, ambao sikutegemea Gazeti na hasa la Chama tawala kuusherehekea. Nina wasiwasi na muandishi wa habari ile na hasa Mhariri Mkuu. JIPENDEKEZENI, najua ndo mnapopata kula, lakini mkumbuke na ka taaluma kidogo mlikosomea. Najua wengine hamkusomea mmepewa vyeo tu, lakini semina mmeenda. Jirekebisheni gazeti la UHURU.