Eti maziwa yatachafuka!

Hii kitu mi nadhani ni kweli kabisaa, Binafsi nilikuwa mbishi sana kuhusiana na hili, Wife alivojifungua aliambiwa na mama yake tusiguse hii kitu mpaka angalau "miezi sita!", mtoto alizaliwa na afya nzuri sana, na kila mwezi aliongezeka kilo 2 au 1.5! grafu ilikuwa inaenda juu tu, mwezi wa tatu toka kuzaliwa nikaingiza mambo yangu ya shule na vitabu kibao vya refference! nikampiga somo la biology wife mpaka akaona ni kweli, tena tukaridhishana kabisaa kwamba hizi myth za kizamani hazina issue! Mama akapata dawa za uzazi wa mpango, tukacheza gemu siku moja usiku......! Kesho yake mtoto akanyonya kama kawaida, tukashinda na kulala bila noma, next day asbh ndy balaa tuliliona! Mtoto anakunya mavi yasiyoeleweka (yana vitu kama maziwa na harufu isiyo ya kawaida!), Ndani ya siku nne mtoto akawa amepungua uzito balaa! Kumpeleka kwenye vipimo vinasoma negative kila kitu, Wife akaenda kwa maza, akampa stori-maza akamtafutia dawa ya kienyeji!!!!! Mtoto amekunya ile dawa siku mbili tu na kurudia Afya yake ya Kawaida, sasa hivi tumekoma tunasubiria miezi sita ndy Tuanze mambo yetu.

Kifupi ni kwamba baadhi ya mambo na imani za kienyeji si za kubeza! Ukitaka UNAWEZA KUJARIBU. BINAFSI NIMEKOMA KUFANYIA MAJARIBIO KWA MWANANGU MPENZI.
 
Hii kitu mi nadhani ni kweli kabisaa, Binafsi nilikuwa mbishi sana kuhusiana na hili, Wife alivojifungua aliambiwa na mama yake tusiguse hii kitu mpaka angalau "miezi sita!", mtoto alizaliwa na afya nzuri sana, na kila mwezi aliongezeka kilo 2 au 1.5! grafu ilikuwa inaenda juu tu, mwezi wa tatu toka kuzaliwa nikaingiza mambo yangu ya shule na vitabu kibao vya refference! nikampiga somo la biology wife mpaka akaona ni kweli, tena tukaridhishana kabisaa kwamba hizi myth za kizamani hazina issue! Mama akapata dawa za uzazi wa mpango, tukacheza gemu siku moja usiku......! Kesho yake mtoto akanyonya kama kawaida, tukashinda na kulala bila noma, next day asbh ndy balaa tuliliona! Mtoto anakunya mavi yasiyoeleweka (yana vitu kama maziwa na harufu isiyo ya kawaida!), Ndani ya siku nne mtoto akawa amepungua uzito balaa! Kumpeleka kwenye vipimo vinasoma negative kila kitu, Wife akaenda kwa maza, akampa stori-maza akamtafutia dawa ya kienyeji!!!!! Mtoto amekunya ile dawa siku mbili tu na kurudia Afya yake ya Kawaida, sasa hivi tumekoma tunasubiria miezi sita ndy Tuanze mambo yetu.

Kifupi ni kwamba baadhi ya mambo na imani za kienyeji si za kubeza! Ukitaka UNAWEZA KUJARIBU. BINAFSI NIMEKOMA KUFANYIA MAJARIBIO KWA MWANANGU MPENZI.

Pole sana. Hebu soma baadhi ya maelezo ya kitaalamu. Inawezekana mtoto alipata infenction kutoka kwenye maziwa yaliyolala kwenye titi. Ila siyo kwa sababu sperms zako ziliingia kwenye maziwa....LOL
 
Siku za hivi karibuni nimekumbana na kisa hiki. Rafiki yangu ananiambia mke wake hataki kushiriki nae kisa ananyonyesha. Hoja yake ya mke ni myth iliyoshamiri ndani ya jamii kwamba sperms huchafua maziwa na kudhoofisha mtoto!
Anahitaji msaada wa kitaalam, uzoefu na maoni ya wadau

Mhhhh....! Hawa bado wapo kwenye jamii duni sana. Otherwise, huyo mkewe si mwaminifu kwenye ndoa yao....!
 
Hii kitu mi nadhani ni kweli kabisaa, Binafsi nilikuwa mbishi sana kuhusiana na hili, Wife alivojifungua aliambiwa na mama yake tusiguse hii kitu mpaka angalau "miezi sita!", mtoto alizaliwa na afya nzuri sana, na kila mwezi aliongezeka kilo 2 au 1.5! grafu ilikuwa inaenda juu tu, mwezi wa tatu toka kuzaliwa nikaingiza mambo yangu ya shule na vitabu kibao vya refference! nikampiga somo la biology wife mpaka akaona ni kweli, tena tukaridhishana kabisaa kwamba hizi myth za kizamani hazina issue! Mama akapata dawa za uzazi wa mpango, tukacheza gemu siku moja usiku......! Kesho yake mtoto akanyonya kama kawaida, tukashinda na kulala bila noma, next day asbh ndy balaa tuliliona! Mtoto anakunya mavi yasiyoeleweka (yana vitu kama maziwa na harufu isiyo ya kawaida!), Ndani ya siku nne mtoto akawa amepungua uzito balaa! Kumpeleka kwenye vipimo vinasoma negative kila kitu, Wife akaenda kwa maza, akampa stori-maza akamtafutia dawa ya kienyeji!!!!! Mtoto amekunya ile dawa siku mbili tu na kurudia Afya yake ya Kawaida, sasa hivi tumekoma tunasubiria miezi sita ndy Tuanze mambo yetu.

Kifupi ni kwamba baadhi ya mambo na imani za kienyeji si za kubeza! Ukitaka UNAWEZA KUJARIBU. BINAFSI NIMEKOMA KUFANYIA MAJARIBIO KWA MWANANGU MPENZI.

Pole sana mkuu...! Try to let your wife to talk all the past openly to you...! You may end up surprising, but make sure you are strong enough to absorb the full and actual story...! And never think that this will be captured overnight...! But would be a long time to get the truth...! Pole sana.
 
Pole sana. Hebu soma baadhi ya maelezo ya kitaalamu. Inawezekana mtoto alipata infenction kutoka kwenye maziwa yaliyolala kwenye titi. Ila siyo kwa sababu sperms zako ziliingia kwenye maziwa....LOL

Mkuu nimesoma sana vitabu vya mambo haya...sjui vya kina papalia, sjui nursing mother, sjui human development! In short mimi na wife tulijiandaa sana kuhusiana na mimba, uzazi na malezi kwa sababu tulichelewa kidogo kuzaa! Kwa hyo siamini kabisa kama ni infection ya maziwa yaliyolala kwa sababu huyu dogo ananyonya angalau mara2 kila usiku! na mchana ndy usiseme!
 
Mkuu nimesoma sana vitabu vya mambo haya...sjui vya kina papalia, sjui nursing mother, sjui human development! In short mimi na wife tulijiandaa sana kuhusiana na mimba, uzazi na malezi kwa sababu tulichelewa kidogo kuzaa! Kwa hyo siamini kabisa kama ni infection ya maziwa yaliyolala kwa sababu huyu dogo ananyonya angalau mara2 kila usiku! na mchana ndy usiseme!

Soma hii kitu vizuri. it is medically sound.

Nguruvi3 said:
Usiponyonyesha kwa muda mrefu, matiti yanajaa maziwa na kusababisha cracks. Kwa vile mwili wa binadamu una bacteria [normal flora] ambao hawadhuru wakiwa katika ngozi,inapotokea ufa huweza kuingia na kuwa virulent. Hii itasababisha uvimbe [inflammation] na mwili uta mobilise white blood cells as means of defence. The accumulation of white blood cells utabadilisha hali ya maziwa. Kumbuka white blood cells wanapokufa katika mapambano na bacteria ndiyo tunapata usaha [pus].
Hali ya kuvimba titi inajulikana kama mastitis,na kwavile kuna bacteria invasion uwezekano wa mtoto kunyonya maziwa yenye bacteria ndio chanzo cha maziwa kuwa na madhara.
Kuwepo kwa bacteria hakuchachishi maziwa kwa vile mwili una mechanism ya kuyaweka maziwa ya mama yabaki hivyo yakiwa ndani. Kinachovuruga maziwa ni kuwepo kwa bacteria ambao wameshakuwa virulent na kuleta inflammation,hali inayoleta accumulation ya massive white blood cells. Hii ndiyo inaharibu utaratibu wote wa usalama wa maziwa.
 
Ameoba
umeingia wasi wasi kwa sababu ulikuwa na hiyo dhana tu kuwa nikifanya tendo basi maziwa yatachacha na mtoto ataumwa (japo huiamini lakini ipo kichwani).

wazungu na makabila mengine hapo hapo tanzania kwa vile hawana hii kitu akilini mwao, wanaendelea na tendo la ndoa kama kawaida. Kwa nafsi yangu nawajua watu kadhaa ambao watoto wao wamepishana xtly mwaka mmoja na watoto wao wote wawili ni wenye afya tu.
 
Ameoba
umeingia wasi wasi kwa sababu ulikuwa na hiyo dhana tu kuwa nikifanya tendo basi maziwa yatachacha na mtoto ataumwa (japo huiamini lakini ipo kichwani).

wazungu na makabila mengine hapo hapo tanzania kwa vile hawana hii kitu akilini mwao, wanaendelea na tendo la ndoa kama kawaida. Kwa nafsi yangu nawajua watu kadhaa ambao watoto wao wamepishana xtly mwaka mmoja na watoto wao wote wawili ni wenye afya tu.

Mbona unakwenda mbali teacher,

Kwa watoto wangu wote (3), tulikuwa tunajizuia at least the first 40 days ili mama apone vizuri. Baada ya hapo ni tahadhari dhidi ya mimba tu. I can assure you from experience and text books, hiyo kitu haina ukweli wowote kabisa.
 
Hii kitu mi nadhani ni kweli kabisaa, Binafsi nilikuwa mbishi sana kuhusiana na hili, Wife alivojifungua aliambiwa na mama yake tusiguse hii kitu mpaka angalau "miezi sita!", mtoto alizaliwa na afya nzuri sana, na kila mwezi aliongezeka kilo 2 au 1.5! grafu ilikuwa inaenda juu tu, mwezi wa tatu toka kuzaliwa nikaingiza mambo yangu ya shule na vitabu kibao vya refference! nikampiga somo la biology wife mpaka akaona ni kweli, tena tukaridhishana kabisaa kwamba hizi myth za kizamani hazina issue! Mama akapata dawa za uzazi wa mpango, tukacheza gemu siku moja usiku......! Kesho yake mtoto akanyonya kama kawaida, tukashinda na kulala bila noma, next day asbh ndy balaa tuliliona! Mtoto anakunya mavi yasiyoeleweka (yana vitu kama maziwa na harufu isiyo ya kawaida!), Ndani ya siku nne mtoto akawa amepungua uzito balaa! Kumpeleka kwenye vipimo vinasoma negative kila kitu, Wife akaenda kwa maza, akampa stori-maza akamtafutia dawa ya kienyeji!!!!! Mtoto amekunya ile dawa siku mbili tu na kurudia Afya yake ya Kawaida, sasa hivi tumekoma tunasubiria miezi sita ndy Tuanze mambo yetu.


Kifupi ni kwamba baadhi ya mambo na imani za kienyeji si za kubeza! Ukitaka UNAWEZA KUJARIBU. BINAFSI NIMEKOMA KUFANYIA MAJARIBIO KWA MWANANGU MPENZI.

Mhh pole sana hiyo kitu haipo labda huyo mtoto alilishwa kitu kilichoharibika usiku wa cku ya tukio. watu huwa wanatoa huduma kwa wote mko katikati ya shughuli mara mtt anaamka unachofanya ni kuwapa wote baba anaendelea na mtoto anaendelea ila hawaonani na still mtoto anaendelea kuwa na afya yake njema. Kuna wengine utawasikia ukisha do basi inabidi ukaoge ndio mtoto anyonye hakuna kitu kama hiyo
 
Mhh pole sana hiyo kitu haipo labda huyo mtoto alilishwa kitu kilichoharibika usiku wa cku ya tukio. watu huwa wanatoa huduma kwa wote mko katikati ya shughuli mara mtt anaamka unachofanya ni kuwapa wote baba anaendelea na mtoto anaendelea ila hawaonani na still mtoto anaendelea kuwa na afya yake njema. Kuna wengine utawasikia ukisha do basi inabidi ukaoge ndio mtoto anyonye hakuna kitu kama hiyo


Umetoa mipoint na ushuhuda wa nguvu saaana!

I wish vijana (akina Teamo) wangeona hapo kwenye blue and red
 
Naweka thread yenye orodha ya baadhi ya imani potofu,

Hebu angalia na wadau waongezee.
Kuna mila nyingine kuwa mtoto wa kiume akidondokewa na kitovu kwenye shafti urijali wake unaondoka maana yake jongoo hataweza kupanda mtungi tena. Na kwa mtoto wa kike atakuwa kicheche maisha yake yote. Sijui kama kuna aliyewahi kuisikia na hii.
 
Hao watoa mada kwenye zile "Kitchen Party" zao wanalo jukumu la kutoa shule kuhusu hilo.

Hata siku moja huwezi pata hoja ya msingi kwenye kitchen party zaidi ya mfundishaji kutamka maneno ya ovyo ovyo na kuonekana yeye ndo shupavu. Hao makungwi pia wanahitaji shule za kisayansi badala ya kuendekeza mila ambazo pengine zimepitwa na wakati
 
Kuna mila nyingine kuwa mtoto wa kiume akidondokewa na kitovu kwenye shafti urijali wake unaondoka maana yake jongoo hataweza kupanda mtungi tena. Na kwa mtoto wa kike atakuwa kicheche maisha yake yote. Sijui kama kuna aliyewahi kuisikia na hii.

Mimi nimesikia kuhusu mtoto wa kiume ila hiyo ya mtoto wa kike nilikuwa bado kusikia. Hebu basi tembelea hiyo thread yetu utupatie uzoefu wako. Tumeweka orodha ndefu tu ya mila potofu. Tupe maoni yako na ongezea kwenye hiyo list. Hii ya mtoto wa kike nitaongezea.

https://www.jamiiforums.com/mahusia...i-ya-imani-potofu-kuhusu-uzazi-na-watoto.html

DC
 
Nenda naye clinic akaelimishwe ukiwepo, kama vipi angalia uwezekano wakati wa usajili wa dirisha dogo upate kaserengeti katatue tatizo kwa huo muda aliopanga kunyonyesha.
 
Mwambie aachane na ujinga. Sperm zinaingia kwenye sehemu za siri za mwanamke (vagina na kama cervix iko wazi zaweza kufika kwenye uterus) wakati maziwa yanatengenezwa kwenye matiti. Kwa hiyo haziwezi hata siku moja kusafiri hadi kwenye matiti.

Ila kitu ambacho huweza kutokea ni suala la kuongezeka kwa hormone ya aina ya oxytocin wakati wa tendo la ndoa. Hormone hi huweza kusababisha maziwa kujaa sana kwenye matiti. Na kama mama hatanyonyesha mtoto hadi asubuhi, yanaweza kuanza kuharibika na kumsabishia mtoto kuchafuka tumbo. Ila tatizo dogo sana hilo (medically). Ngono inazuiliwa walau ndani ya siku 40 baada ya kujifungua kumruhusu mama viuongo vikae vizuri. Baada ya hapo ni kuchukua tahadhari dhidi ya mimba tu.

Hapo kwenye red DC naona kama unakubaliana na dhana ya maziwa kuchafuka ila umeilezea kitaalamu zaidi....au labda mimi ndio sielewi nini??
 

Hapo kwenye red DC naona kama unakubaliana na dhana ya maziwa kuchafuka ila umeilezea kitaalamu zaidi....au labda mimi ndio sielewi nini??

Maziwa yakikaa kwenye matiti muda mrefu kuna uwezekano mkubwa wa kuharibika. Kwa hiyo siyo suala la ngono tu. Ambacho napingana nacho ni hisia kuwa sperms zinafika kwenye matiti na kajazana kwenye maziwa. Pia hisia kuwa watu wasifanye ngono. Kitu cha msingi ni mtoto kuendelea kunyonya kama kawa na ngono inapigwa non-stop. Hakuna matata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom