Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
hata hilo la kuganda maziwa ati usiponyonyesha kwa muda mrefu ni upuuzi......mbona ya ngombe hayagandi??? natunakamua asubuh na jioni....
Hapana shishi, kuna ukweli wa kisayansi. Usiponyonyesa kwa muda mrefu ni bora kukamua maziwa ukayamwaga. Yakibaki kwenye matiti yanaruhusu bacteria kuota na kuyachachisha pia inasababisha maambukizi. Hii uleta uvumbe kwenye matiti (mastitis) na inaweza kusababisha hata homa kwa mama.