D dr chris Member Sep 23, 2011 76 12 Dec 4, 2011 #1 wana jf najua mtandao wetu ni mpana sana hebu mwenye info kama kweli yapo tayari atujulishe ili presha za watt wetu zishuke
wana jf najua mtandao wetu ni mpana sana hebu mwenye info kama kweli yapo tayari atujulishe ili presha za watt wetu zishuke
Mphamvu JF-Expert Member Jan 28, 2011 10,702 3,288 Dec 5, 2011 #2 Sidhani, mara nyingi inakuwa kuanzia tar. 20...
JOYCE PAUL JF-Expert Member Jan 8, 2010 1,005 82 Dec 5, 2011 #3 mh watoto wa wakubwa wanakuwa wameshajua mpaka kufikia sasa nakwambia selection ikimalizika tu washajua..
mh watoto wa wakubwa wanakuwa wameshajua mpaka kufikia sasa nakwambia selection ikimalizika tu washajua..
Brightman Jr JF-Expert Member Mar 22, 2009 1,225 232 Dec 5, 2011 #4 dr chris said: wana jf najua mtandao wetu ni mpana sana hebu mwenye info kama kweli yapo tayari atujulishe ili presha za watt wetu zishuke Click to expand... Matokeo bado; huenda wiki hii yakatangazwa baada ya selection kukamilika.
dr chris said: wana jf najua mtandao wetu ni mpana sana hebu mwenye info kama kweli yapo tayari atujulishe ili presha za watt wetu zishuke Click to expand... Matokeo bado; huenda wiki hii yakatangazwa baada ya selection kukamilika.
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Jun 3, 2011 12,358 6,422 Dec 5, 2011 #5 Mphamvu said: Sidhani, mara nyingi inakuwa kuanzia tar. 20... Click to expand... Kuanzia tarehe 9/12/2011 yatatoka
Mphamvu said: Sidhani, mara nyingi inakuwa kuanzia tar. 20... Click to expand... Kuanzia tarehe 9/12/2011 yatatoka