Jirani yangu alinikabili na kuniuliza!
Ilibidi nimuulize imekuwaje tena?
"Kuna wakati mke wangu ananipenda nami huwa najuwa hasa kama ananipenda lakini wakati mwengine huwa hanithamini hadi hudiriki kutaka kuachana nae", alinijibu "Hivyo kweli ana mapenzi ya kweli huyu?", aliendelea kuniuliza.
Nimjibu nini na hiyo ni ndowa, nilitamka neno moja tu "Mhn" nikaubana.
Nilibaki na mawanzo na kujiuliza eti kweli hii inawezekana na kama inawezekana nini suluhisho?
Ilibidi nimuulize imekuwaje tena?
"Kuna wakati mke wangu ananipenda nami huwa najuwa hasa kama ananipenda lakini wakati mwengine huwa hanithamini hadi hudiriki kutaka kuachana nae", alinijibu "Hivyo kweli ana mapenzi ya kweli huyu?", aliendelea kuniuliza.
Nimjibu nini na hiyo ni ndowa, nilitamka neno moja tu "Mhn" nikaubana.
Nilibaki na mawanzo na kujiuliza eti kweli hii inawezekana na kama inawezekana nini suluhisho?