Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Juzi Jumamosi nikiwa nafua nguo huku nikiwa naongea na jirani yangu ambaye ana watoto wawili mmoja ana miaka 12 na mwingine 9. Huyu wa miaka 12 ni mtoto wa kiume, alimtupia mama swali ambalo kwa wakati ule hakulijibu bali alikaa kimya kitu ambacho kilitufanya kutafakari kutaka kujua kwanini mtoto ameuliza swali halafu mama amekaa kimya.
Swali lenyewe ilikuwa hivi.
Mtoto: Ehe mama nimekumbuka hivi ndani kwetu kuna dala dala?
Mama: alikaa kimya.
Mtoto: Leo usiku nimekusikia ukisema "panda, panda" kwani kuna dala dala???
Baadaye mama alichofanya ni kumchapa mtoto yule bila sababu kwa kosa dogo tu, tukajua sababu yake ni hilo swali aliloshindwa kumjibu wakati ule.
Tatizo la uhaba wa vyumba vya kulala hapa Dar ni kubwa na hii ndio athari yake ambapo watoto hawalali kutaka kujua nini wazazi wao wanafanya usiku.................................................................
Swali lenyewe ilikuwa hivi.
Mtoto: Ehe mama nimekumbuka hivi ndani kwetu kuna dala dala?
Mama: alikaa kimya.
Mtoto: Leo usiku nimekusikia ukisema "panda, panda" kwani kuna dala dala???
Baadaye mama alichofanya ni kumchapa mtoto yule bila sababu kwa kosa dogo tu, tukajua sababu yake ni hilo swali aliloshindwa kumjibu wakati ule.
Tatizo la uhaba wa vyumba vya kulala hapa Dar ni kubwa na hii ndio athari yake ambapo watoto hawalali kutaka kujua nini wazazi wao wanafanya usiku.................................................................