KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Mi huwa nakereka sana na TBC mnaposema "........Kama alivyotutumia habari hii kwa njia ya internet/mtandao/satelite".
Nia yenu hasa ni nini? tuogope?? au tujue mmeendelea sana ki-technologia? au picha hazitakua na quality? au mbembwe tu.
Mnawapumbazaga na kuwaokota wa huko vijijini tu, ambao satelite au sijui internet kwao wanaona kama vile mwandishi alienda space kutuma.
Mbona hakuna tv station yeyote duniani wanaotamka ivyo??? au wao hawatumii na wanajua technolojia iyo ishapitwa na wakati na nyie ndo mmevumbua sasa?
Yaani hata citizentv ya watani zetu inawashinda?
Badilikeni jamani, internet sasa ivi haitustui watanzania.
Nia yenu hasa ni nini? tuogope?? au tujue mmeendelea sana ki-technologia? au picha hazitakua na quality? au mbembwe tu.
Mnawapumbazaga na kuwaokota wa huko vijijini tu, ambao satelite au sijui internet kwao wanaona kama vile mwandishi alienda space kutuma.
Mbona hakuna tv station yeyote duniani wanaotamka ivyo??? au wao hawatumii na wanajua technolojia iyo ishapitwa na wakati na nyie ndo mmevumbua sasa?
Yaani hata citizentv ya watani zetu inawashinda?
Badilikeni jamani, internet sasa ivi haitustui watanzania.