usi-beep kama huna mpango...
atakupandia hewani hadi ukimbie nchi, mfano ninao....
Orite...pole sana mkuu...
Nshawah kushuhudia jamaa akienda kujitambulisha.....
usi-beep kama huna mpango...
atakupandia hewani hadi ukimbie nchi, mfano ninao....
Aakh,wapi.ukija kwangu na gia hiyo nakuona mjinga,halafu nakuona mshamba,hujiamini.yaan nakudharau nakuona km sharobalo wa shamba,fresh from the village.mwanamke mjaja hanasi kwnye mitego ya kijinga,labda aamue yeye tu kukupa mchezo ili nawe uingie kwenye chati za kumiliki warembo.kwanza huko mbelen tunaweza tukaanza kuwaoa ninyi,sijui mtakuja na gia gani
Aakh,wapi.ukija kwangu na gia hiyo nakuona mjinga,halafu nakuona mshamba,hujiamini.yaan nakudharau nakuona km sharobalo wa shamba,fresh from the village.mwanamke mjaja hanasi kwnye mitego ya kijinga,labda aamue yeye tu kukupa mchezo ili nawe uingie kwenye chati za kumiliki warembo.kwanza huko mbelen tunaweza tukaanza kuwaoa ninyi,sijui mtakuja na gia gani
Inategemea,kama mwanamke yuko na hamu ya kuolewa ukimwambia hivyo na una vigezo atakavyo atakubali,la ajabu lipi?
Sikushauri kabisa na hii gia mkuu, hata ukipata game lakini mwisho wa siku utakuwa umejenga uadui...
Utawapata wenye kihere here cha ndoa, na wapo wachache sana siku hz, infwakiti wanazidi kupungua
mkuu kwa gia hiyo hungoi kisiki chochote labda wale shankupes wanaoshinda vibarazani na saloon...
Kwani hao siyo wanawake!!??
ni wanawake ila sio visiki mkuu... hao ni maharage ya mbeya maji mara moja tatizo kiongozi anaongelea visiki which means wagumu