kama kuna mtu yeyote ameshawahi omba mkopo na akapata naomba nijue, coz hapa mjin wajanja wengi mdogo wangu aliomba mkopo mwaka jana serikalini hakupata now anataka a jaribu ktk h NGOS hyo niliyoitaja hapo juu. kaniuliza nimeshindwa kumpatia jibu,nikasema ngoja niwaulize wasomi wa JF. kwamba hi ni ya ukwel au magumashi iko k/koo. NASUBIRI JIBU