mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
nina jaa yangu demu wake mjamzito,jamaa kwa sababu ni mgeni na ujauzito alisitisha tendo la ndoa kwa kujua huwa halifanyiki mwanamke akiwamja mzito,lakini demu wake amemuambia lazima wafanye wasipofanya kuna madhara.je madai haya ni ya ukweli? kama ni kweli kuna madhara gani?