Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Nimesoma Habari leo! Mwandishi Steven Peter ameanika wazi kuwa Mbowe ndiye aliyetangaza kumwaga damu kama Chadema isingechaguliwa. Nakumbuka Mh Dr Slaa akiwapa changamoto mjeshi amkamate aliyetoa kauli hio lakini Shimbo na wenzie wamejimumunya tu mdomo. Kumbe wanajua nini kilichotokea, najiuliza kwa nini hawakumsikiliza Slaa wakamkamata!?
Lakini jana Mbowe alnusura apate shida kubwa huko kwake Hai, Green Guards walimfanyia vurugu. Sasa nielewe vipi. Steven analalamika kwamba Chadema wamezidi kulalamika.
Ah someni hapa HabariLeo | Chadema uzushi, malalamiko havina tija
Lakini jana Mbowe alnusura apate shida kubwa huko kwake Hai, Green Guards walimfanyia vurugu. Sasa nielewe vipi. Steven analalamika kwamba Chadema wamezidi kulalamika.
Ah someni hapa HabariLeo | Chadema uzushi, malalamiko havina tija