we acha tu carmel usiombe dhahama hilo likukute utashaa
ehhe kumbe wanawake huwa wanakoroma? ....mie sijasoma boarding skul, kwa hiyo nimelala na wanawake wachache sana maishani mwangu (lol) ........sikudhani kama huwa wanakoroma
samahani dada carmel usibonyeze ki ziiiii...........na crispin wewe pia ushawahi kumuona mwanamke akikoroma ?
Nilisoma girls school wala sikuliona hilo, labda kama mnazungumzia wamama watu wazima.
Nani kasema si afya? ni mzungu au mwafrika? taujiangalie kuanzia vijijini tukiwa wadogo, tukaja mijiji/vyuoni tunabebana kijitanda kidogo pale hall 2 tunalala 4 na hatuugui TB wala malaria. Waulizeni waliopo mageto from manzese to temeke hadi kwa ma do na ma brazamen sinza wanalala wangapi? je ni wagonjwa/wanapata maradhi hata ya ngozi? vipi ndg zangu na ma best friends zangu wa kunako box wanaishije street za soweto na Marekeni etc? Nahitimisha kwa kuangalia bendi za wakongo maeneo ya Dar es Salaam wanalala wangapi wangapi? na sebene linapigwa kama kawa tena huwa mwenzako anaweza kuwa ana wo wa na wewe umelala pembeni
Nguli umenichekesha kwa maelezo yako ..............lol
Morning FL japo hujatokea moshi kwenye red unatuwakilisha
mwanamke kukoroma ni nadra sana!
Karibu na kama uko geto nikaribishe hata kama mko kumi tunalala na story tunapiga achana na uongo wa si afya. Popo wanalalaje? Jeshini je?
Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.
crispin tuliza boli! red hiyo isikupe shaka.......kulala chumba kimoja si unajua! au familia za kiafrika mara unalala na dada yako kitanda kimoja ....arrrgggg ....we acha tu
hehehe na nasikia watu wanene ndo wepesi wa kukoroma.......sijui hii nayo kweli?
Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.
Kumbe huna habari?Hivi wanawake huwa hawakoromagi? Ish!
Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.
__________________
"A mother who is really a mother is never free."
Napenda signature yako, very nice and very true!
Hahaha! Binamu kwa kupiga chabo sikuwezi. Vipi, na zile nyingine za kikubwa huwa unazipiga? ( Sorry- off point)
Ha ha ha ha ha! umenichekesha sana? wide load hawezi fanya hivyo bana! hawezi kupita vichochoroni ule mzigo atapenyezaje nao?
ntapigaje chabo za vichochoroni wakati mechi inaweza kuandaliwa chumbani kwetu tukajipiga chabo wenyewe?Hahaha! Binamu kwa kupiga chabo sikuwezi. Vipi, na zile nyingine za kikubwa huwa unazipiga? ( Sorry- off point)
mwambie wewe bwana, kama bajaji haitoshi unadhani kichochoro kitahimili?Ha ha ha ha ha! umenichekesha sana? wide load hawezi fanya hivyo bana! hawezi kupita vichochoroni ule mzigo atapenyezaje nao?