Eti Kulala Pamoja si Afya! kwa wana NDOA

ehhe kumbe wanawake huwa wanakoroma? ....mie sijasoma boarding skul, kwa hiyo nimelala na wanawake wachache sana maishani mwangu (lol) ........sikudhani kama huwa wanakoroma

samahani dada carmel usibonyeze ki ziiiii...........na crispin wewe pia ushawahi kumuona mwanamke akikoroma ?

Hahaha! Sana tu. Tena ogopa ukutane na mwanamke anayekoroma afu awe amemiminia taska kadhaa tumboni mwake! Lol! Hiyo red hiyo! We Gaijin wewe! Hehehe! Labda kaufafanuzi kidogo kabla akili yangu mbovu haijaanza kukuuliza maswali ya he/she? Hahahaha!
 
Nilisoma girls school wala sikuliona hilo, labda kama mnazungumzia wamama watu wazima.


Napenda sana wanawake wanaokoroma ntawapata wapi? tena kwa sauti kama ya mdudu/ze kiti motozi
 
Nani kasema si afya? ni mzungu au mwafrika? taujiangalie kuanzia vijijini tukiwa wadogo, tukaja mijiji/vyuoni tunabebana kijitanda kidogo pale hall 2 tunalala 4 na hatuugui TB wala malaria. Waulizeni waliopo mageto from manzese to temeke hadi kwa ma do na ma brazamen sinza wanalala wangapi? je ni wagonjwa/wanapata maradhi hata ya ngozi? vipi ndg zangu na ma best friends zangu wa kunako box wanaishije street za soweto na Marekeni etc? Nahitimisha kwa kuangalia bendi za wakongo maeneo ya Dar es Salaam wanalala wangapi wangapi? na sebene linapigwa kama kawa tena huwa mwenzako anaweza kuwa ana wo wa na wewe umelala pembeni

Nguli umenichekesha kwa maelezo yako ..............lol
 
Nguli umenichekesha kwa maelezo yako ..............lol


Karibu na kama uko geto nikaribishe hata kama mko kumi tunalala na story tunapiga achana na uongo wa si afya. Popo wanalalaje? Jeshini je?
 
crispin tuliza boli! red hiyo isikupe shaka.......kulala chumba kimoja si unajua! au familia za kiafrika mara unalala na dada yako kitanda kimoja ....arrrgggg ....we acha tu

hehehe na nasikia watu wanene ndo wepesi wa kukoroma.......sijui hii nayo kweli?
 
Karibu na kama uko geto nikaribishe hata kama mko kumi tunalala na story tunapiga achana na uongo wa si afya. Popo wanalalaje? Jeshini je?

Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.
 
Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.

Siku hizi tafiti zimeisha so watu wanatafiti hata visivyotafitika....kama lile domo zege linadai limeachika kwa vile perfume mbaya te te te!
 
crispin tuliza boli! red hiyo isikupe shaka.......kulala chumba kimoja si unajua! au familia za kiafrika mara unalala na dada yako kitanda kimoja ....arrrgggg ....we acha tu

hehehe na nasikia watu wanene ndo wepesi wa kukoroma.......sijui hii nayo kweli?

Hahaha! Mtake radhi YoYo na ZD tafadhali! lol!
 
Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.

Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.
__________________
"A mother who is really a mother is never free."




Napenda signature yako, very nice and very true!
 
Mimi kwanza napingana na hiyo tafiti yao.
__________________
"A mother who is really a mother is never free."




Napenda signature yako, very nice and very true!

Hahaha! Binamu kwa kupiga chabo sikuwezi. Vipi, na zile nyingine za kikubwa huwa unazipiga? ( Sorry- off point)
 
Hahaha! Binamu kwa kupiga chabo sikuwezi. Vipi, na zile nyingine za kikubwa huwa unazipiga? ( Sorry- off point)

Ha ha ha ha ha! umenichekesha sana? wide load hawezi fanya hivyo bana! hawezi kupita vichochoroni ule mzigo atapenyezaje nao?
 
Hahaha! Binamu kwa kupiga chabo sikuwezi. Vipi, na zile nyingine za kikubwa huwa unazipiga? ( Sorry- off point)
ntapigaje chabo za vichochoroni wakati mechi inaweza kuandaliwa chumbani kwetu tukajipiga chabo wenyewe?;)
 
Ha ha ha ha ha! umenichekesha sana? wide load hawezi fanya hivyo bana! hawezi kupita vichochoroni ule mzigo atapenyezaje nao?
mwambie wewe bwana, kama bajaji haitoshi unadhani kichochoro kitahimili?
 
Back
Top Bottom