Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Akina dada wakitumia, wanakauka hili swala ni kwa pombe zote kali.
Yeah...na mimi niltaka kusema hivyo hivyo lakini nikaogopa nisije ambiwa na Sasha naenda mbali...Lol
Akina dada wakitumia, wanakauka hili swala ni kwa pombe zote kali.
nimesikia mengi kuhusu konyagi na ningependa kupata taarifa zaidi kutoka kwa wana jf kuhusu yafuatayo yanayohusiana na konyagi.
Je ni kweli inaongeza nguvu za kiume??
Je, kwanini wanywaji huifungua kwa staili ya kuipiga nyuma??
Ahsanteni
oh really? how long did he go?
...nadhani inapunguza concentration ndio maana tunachelewa kububujika!! in many cases you dont even remember how it was in the morning!!
..Your right MTM, generall, kinachotokea ni hali ya ulevi wa kupindukia unaomfanya mnywaji awe less sensitive na hivyo kuchelewa kufikia kilele. Jaribu kunywa kiasi kidogo tu cha Konyagi kama utaiona hii effect. Mara nyingi utapata effect hii kama umekunywa kiasi kikubwa cha KONYAGI. Wasaalam...nadhani inapunguza concentration ndio maana tunachelewa kububujika!! in many cases you dont even remember how it was in the morning!!
kama kweli basi inatisha....lengo ni kuenjoy sio kusahau
Haiongezi nguvu za kiume,ila huwa inakufanya uchelewe kufika mshindo,kama unakawaida ya kupinga bao baada ya dk 5 mechi ukinywa Konyangi utapiga bao baada ya dk 15 au zaidi ya hapo.hii ni kutokana na utafiti wangu mwenyewe.
Vipi upande wa kina dada
Kilevi ni kilevi tu - iwe imetengenezwa kiwandani ikapewa jina kama KONYAGI, TUSKER, HENKEN, VODKA ETC. na viwanda vya kienyeji ikaitwa GONGO, MNAZI, DENGELUA, ULANZI etc. ZOTE NI POMBE - EFFECT YAKE NI KULEWA NA KUHARIBU MWILI
majina yasikufariji - ila jiulize toka umekunywa umepata faida ipi?? umekunywa mapipa mangapi, umepoteza kiasi gani cha fedha? You will come to your senses sometimes - NI UBATILI MTUPU -
Yeah...na mimi niltaka kusema hivyo hivyo lakini nikaogopa nisije ambiwa na Sasha naenda mbali...Lol
Sasha mpenzi wa menage ......niliwahi kuiona ikimtoa kuku manyoya taratiibu!
mashori bana yaani basi tu mie nikishaona shori wa namna hii namuweka katika category ya kicheche.....wanafanyaga wakina rachel temu sana.....Usinifikirie vibaya Nyani ngabu.Ila kwa suala na konyagi inafanya nini kwa mwanamke hilo siwezi kujibu since sijawahi kunywa konyagi miye nakunywa wine cooler au menage a trois red wine.
mashori bana yaani basi tu mie nikishaona shori wa namna hii namuweka katika category ya kicheche.....wanafanyaga wakina rachel temu sana.....
Tofauti kati ya Bia na Konyagihahaaa... wacha ninyamaze kucheka manake huu ni ukweli ... vinywaji vikali (whiskies, nk) zinachelewesha... jihadhari ukinywa nyingi utakausha... afu hutakojoa kabisaa
.,.
Hebu fafanua zaidi!