Eti Kiswahili sio lugha ya kimahaba!

Naomba kufahamishwa tu kama kuna lugha inaitwa kisouth Africa. i mis some point here.
<br />
<br />
Mkuu, ni sexiest ACCENTS (kiswahili sanifu sijui ni 'lafudhi' au lahaja?) Ndiyo maana unaona hapo ki Irish na Scottish.
 
<br />
<br />
Mkuu, ni sexiest ACCENTS (kiswahili sanifu sijui ni 'lafudhi' au lahaja?) Ndiyo maana unaona hapo ki Irish na Scottish.
Mkuu bado umeniacha gizani, Wasouth Africa hawana lafudhi inayofanana kama sisi Watanzania tusivyofanana lafudhi, mfano ni msukuma na mchaga. so i don't get the point here.
 
Mkuu bado umeniacha gizani, Wasouth Africa hawana lafudhi inayofanana kama sisi Watanzania tusivyofanana lafudhi, mfano ni msukuma na mchaga. so i don't get the point here.
<br />
<br />
Kuna kaukweli kwenye hoja yako, lkn mtanzania yeyote akiongea siyo rahisi ujichanganye kuwa lbd huyo ni mkongo mganda au mkenya, utajua tu kuwa hii lafudhi ya Mbongo mchaga, msukuma, mkurya, msambaa nk. Na hata hivyo wa south africa wakiongea unaelewa tu kuwa ni wao. Pamoja na kuwa jamaa hawakuwa specific na sina uhakika na huu utafiti wao, lkn nimechukulia kuwa wanamaanisha ki Africaans. Si unajua tena si rahisi weupe kufagilia kitu chochote cha wamatumbi?!
 
Ushamba kila lugha ina lafudhi ya kumahaba nanii anawadangaya kwa research uchwara. ........ hata kiswahili cha Tanga, mombasa, Zenji au mnafikiri kiswahili cha watani zangu wa Rorya na kule bariadi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom