sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
wifi upo jamani?
Nipo wifi, majukumu ya hapa na pale ila niko poa kabisa! You?
wifi upo jamani?
Nipo wifi, majukumu ya hapa na pale ila niko poa kabisa! You?
Kakako hajambo mpendwa, nae pia amebanwa kidogo. Anakusalimu sana, j'mosi tutakuja home kuwasalim wazee!mwenyewe nimekabwa kweeli lakini napambana kaka mzima?
Kakako hajambo mpendwa, nae pia amebanwa kidogo. Anakusalimu sana, j'mosi tutakuja home kuwasalim wazee!
hahahahahaha hawakuwa na simu hata wagoogleliana pyaaaa you have made my evening enhe ikawaje?
Hehehe, Mwalimu ni Mwalimu tu kila siku, huwezi kumdanganya.Hahahaha! Hapa lazima wote wapate zero lol. Wanajifanya wana akili kumzidi mwalimu... Tehe tehe!
Mwali malizia hiki kisa manake kimenivutia!
Kama umetumiss mbona hata hupigi simu?..Waooo
Nimewamisije....
Duh
Upooo?
Mpe hi bana,mdingi niko nae hapa anavuta tumbaku,
marahaba dogo tundu!
Hehehe, Mwalimu ni Mwalimu tu kila siku, huwezi kumdanganya.
Ni kama tulivo kua watoto una'iba' sukari unasahu kufuta
mzazi akiuuliza kama ulilamba sukari unabisha, huku unashangaa: alijuaje?
Unasahau wazazi walikua watoto kabla ya kua wazazi!
Mpe hi bana,
ningempigia sema hamalizagi kuongea, atanifanya niunguze mboga lol.
Teh umenifananisha na bagah eeh
Teh sinimepoteza simu juzi...ila nimerudi hewani ntakucheckKama umetumiss mbona hata hupigi simu?..
nimegundua kumbe unatupenda tukiwa chit chat, tukiondoka tu mapenzi yanaisha..
Nipo mwaya, majukumu yamekuwa mengi, mzima wewe?
Teh ndo mana hata mimi nikikuona nahisi nimemeona SweetLadywala ni weewe b52, i know you veri well
Teh ndo mana hata mimi nikikuona nahisi nimemeona SweetLady
nilikwambia hiyo lenzi mbonyeo haikufai mdogo wangu
Teh umenikumbusha mbaliiiiiiiiii
Pyaaaaaaaaaa
mbaali unga limited au?