Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,558
jana nilikua Zero pub nacheki game ya Chelsea.
Baada ya game niaamua kupata Moja Mbili.
Mida ya saa nane. nikaanza safari ya kurudi home.
kufika nyumbani kumezuka ugomvi mkubwa sana. Eti nitakaaje Bar mpake saa nane za usiku halafu nirudi nyumbani sijalewa
''lazima umetoka kwa wanawake zako, usinione mtoto wa kunidanganya''
Kumbe ningejifanya nimelewa Chakari ningelala kwa amani.
Baada ya game niaamua kupata Moja Mbili.
Mida ya saa nane. nikaanza safari ya kurudi home.
kufika nyumbani kumezuka ugomvi mkubwa sana. Eti nitakaaje Bar mpake saa nane za usiku halafu nirudi nyumbani sijalewa
''lazima umetoka kwa wanawake zako, usinione mtoto wa kunidanganya''
Kumbe ningejifanya nimelewa Chakari ningelala kwa amani.