Eti Kikwete acharuka!

hakuna jipya lolote,tusibiri miaka yake mitano iishe,tuone na mwingine atakuja kwa giza au kiza. JK hana jipya tena.
 
Aaanze kuwa makini yeye mwenyewe kwa kumwajibisha waziri wake vinginevyo tutaendelea kusikia crap zake kila siku
 
Nani anayaleta hayo majenereta?na kwa bei gani?na alishainda lini dhabuni ya kuyaleta?
yatafungwa wapi ili kuweza kuzalisha huo umeme?
 
[QUOTE
Mwisho unahitaji kwenda Loliondo kupata Kikombe kimoja kutwa mara tatu toka kwa babu.[/QUOTE]


Tujaribu kuwa wastaarabu all the TIME, haya ya kumwambia JAKAYA kwenda Loliondo kwa Babu yanarandanaje na tatizo la UMEME nchini, kumuheshimu binadamu mwenzako costs you next to nothing, calling names Kiongozi wa nchi tunajidhalilisha kamataifa; tujaribu kujirekebisha.

Back to point, Jamani tujaribu kuwa wakweli, hivi tatizo sugu la umeme nchini lilihibuka wakati wa TERM ya Jakaya KWELI? Jibu ni hapana. Kikwete si msemaji sana au mtu mwenye majigambo na kupenda sifa, ukiona anaweka adhalani mambo aliyo zungumza na Baraza lake la mawaziri kuhusu kero za UMEME nchini basi mtu mwenye akili anajuwa kwamba na yeye kama Raisi linamkela sana, kusema kweli baadhi ya viongozi wake wanamuangusha SANA.

Ninacho taka kusisitiza hapa ni kwamba tujaribu kupunguza mambo ya kumkejeri, kumdhalilisha wakati mwigine kutumia lugha hisiyo na staha hata kidogo, tunachopashwa kufanya ni kumsaidia kwa kumpa ushauri; kama nakumbuka vizuri aliwahi kusema raia yeyote anaweza kumpa ushauri kima andishi ikiwezekana, sasa mnataka hawe muwazi kiasi gani!

Mimi tamko lake la leo kuhusu adha ya umeme nchini limenikuna sana na nilikuwa na mawazo kama hayo hayo, rai aliyo toa kwamba: na hapa namnukuu “Nililisema hili pale katika kikao cha Baraza la Mawaziri, shughuli hizi zote za uzalishaji wa umeme wa dharura zianzie na kuishia palepale Tanesco. Bodi ya Tanesco isimamie mchakato mzima bila kuingiliwa na wizara, naomba tusirudi tena kule nadhani aliongezea kwamba mambo ya Richmond yasije kujirudia. Mimi huwa namsikiliza kwa makini anapozungumza, watu wanasahau kwamba Jakaya huyu huyu aliwahi kumtahadhalisha Waziri Msabaha hawe makini/mwangalifu na wawekezaji wa Richmond sijuhi kama ushauri wake uliwekewa maanani au la, kama watu wangekuwa makini kumsikiliza wakati analisema hilo nadhani hakuna ambaye angekuwa anajaribu kumtumbukiza katika sakata ambalo hakuhusika nalo.

Najuwa watu watanisema sana kuhusu hili, lakini niko tayari kuwajibu na nilisha wahi kusema humu kwamba Kikwete is MEGA-SMART upstairs; sijuhi kama watu walinielewa, labda hili tamko lake kuhusu Wizara ya Nishati/madini na TANESCO kotoingiliana kimajukumu liwe A WAKEUP CALL kwamba binadamu huyu ana a TERA-WATT za analytical mind, remember bila yeye Kenya sasa hivi ingekuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, je Watanzania tuna haki gani ya kumbeza beza mtu kama huyu! Tell me. Mwisho Jakaya huyu huyu aliwahi kushauri kwamba IPTL wa-modify prime mover zao zitumie Natural GAS ambayo inapatikana kirahisi nchini, tangu atoe pendekezo hilo nadhani miaka mitatu imepita, kwani kuna aliye msikiliza! Hakuna; watu wako busy kuagiza matani na matani ya mafuta ya mabillioni kwa ajili ya mitambo ya IPTL ambayo inakula mafuta kama mchwa, sasa tujiulize yeye alijuwaje kwamba tutapunguza gharama kwa kutumia GAS badala ya Heavy OIL wakati si Mechanical wala Electrical Engineer - jibu unalo MEGA-SMART...
 
people are extremely negative dah hii kali..... Tulimchagua wenyewe na tusubiri amalize muda wake maana kama ni kuandamana sioni muandamanaji tu. Pia kiasilia kila m-tz ni fisadi tu. :a s clock:
hovyoooooooo!
 
[QUOTE
Mwisho unahitaji kwenda Loliondo kupata Kikombe kimoja kutwa mara tatu toka kwa babu.[/QUOTE]


Tujaribu kuwa wastaarabu all the TIME, haya ya kumwambia JAKAYA kwenda Loliondo kwa Babu yanarandanaje na tatizo la UMEME nchini, kumuheshimu binadamu mwenzako costs you next to nothing, calling names Kiongozi wa nchi tunajidhalilisha kamataifa; tujaribu kujirekebisha.

Back to point, Jamani tujaribu kuwa wakweli, hivi tatizo sugu la umeme nchini lilihibuka wakati wa TERM ya Jakaya KWELI? Jibu ni hapana. Kikwete si msemaji sana au mtu mwenye majigambo na kupenda sifa, ukiona anaweka adhalani mambo aliyo zungumza na Baraza lake la mawaziri kuhusu kero za UMEME nchini basi mtu mwenye akili anajuwa kwamba na yeye kama Raisi linamkela sana, kusema kweli baadhi ya viongozi wake wanamuangusha SANA.

Ninacho taka kusisitiza hapa ni kwamba tujaribu kupunguza mambo ya kumkejeri, kumdhalilisha wakati mwigine kutumia lugha hisiyo na staha hata kidogo, tunachopashwa kufanya ni kumsaidia kwa kumpa ushauri; kama nakumbuka vizuri aliwahi kusema raia yeyote anaweza kumpa ushauri kima andishi ikiwezekana, sasa mnataka hawe muwazi kiasi gani!

Mimi tamko lake la leo kuhusu adha ya umeme nchini limenikuna sana na nilikuwa na mawazo kama hayo hayo, rai aliyo toa kwamba: na hapa namnukuu Nililisema hili pale katika kikao cha Baraza la Mawaziri, shughuli hizi zote za uzalishaji wa umeme wa dharura zianzie na kuishia palepale Tanesco. Bodi ya Tanesco isimamie mchakato mzima bila kuingiliwa na wizara, naomba tusirudi tena kule, nadhani aliongezea kwamba mambo ya Richmond yasije kujirudia. Mimi huwa namsikiliza kwa makini anapozungumza, watu wanasahau kwamba Jakaya huyu huyu aliwahi kumtahadhalisha Waziri Msabaha hawe makini/mwangalifu na wawekezaji wa Richmond sijuhi kama ushauri wake uliwekewa maanani au la, kama watu wangekuwa makini kumsikiliza wakati analisema hilo nadhani hakuna ambaye angekuwa anajaribu kumtumbukiza katika sakata ambalo hakuhusika nalo.

Najuwa watu watanisema sana kuhusu hili, lakini niko tayari kuwajibu na nilisha wahi kusema humu kwamba Kikwete is MEGA-SMART upstairs; sijuhi kama watu walinielewa, labda hili tamko lake kuhusu Wizara ya Nishati/madini na TANESCO kotoingiliana kimajukumu liwe A WAKEUP CALL kwamba binadamu huyu ana a TERA-WATT za analytical mind, remember bila yeye Kenya sasa hivi ingekuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, je Watanzania tuna haki gani ya kumbeza beza mtu kama huyu! Tell me. Mwisho Jakaya huyu huyu aliwahi kushauri kwamba IPTL wa-modify prime mover zao zitumie Natural GAS ambayo inapatikana kirahisi nchini, tangu atoe pendekezo hilo nadhani miaka mitatu imepita, kwani kuna aliye msikiliza! Hakuna; watu wako busy kuagiza matani na matani ya mafuta ya mabillioni kwa ajili ya mitambo ya IPTL ambayo inakula mafuta kama mchwa, sasa tujiulize yeye alijuwaje kwamba tutapunguza gharama kwa kutumia GAS badala ya Heavy OIL wakati si Mechanical wala Electrical Engineer - jibu unalo MEGA-SMART...
Et wanamwangusha wasaidiz! Afu akishaangushwa anawafanya nini walomwangusha?????
 
Simple, Wewe kama raia mwema mpe ushauri Jakaya jinsi ya kuwajibisha Viongozi wanao muangusha, period.
 
Kwani lazma uchangie? Issue iko hivi we majimshindo, jk anamtaka ngeleja awe makini, hii maana yake kwa sasa ngeleja siyo makini! But mamlaka ya ngeleja ni jk,ndo kusema kama mchaguliwa si makini bac pia mchaguaji naye si makini! Otherside,kama yy jk anadhani makini bac amtafute mtu makini amuweke pale nishati sio ngeleja ambaye ameshamuona kuwa si makini!

Mipangomingi,

Sio vizuri kupotosha au kupindisha maneno ili upate lile unalolitaka. JK amemuonya Ngeleja kuwa makini ili yasijetokea kama yale ya Richmond, sasa hapa hoja yako hapo juu inaingiaje? Hivi ni uwezo wa kujua mambo ndio unaoukosa au unafanya haya kwa makusudi? Kama unafanya haya kwa makusudi unataka kutupeleka wapi na ujinga huo?
 
Haya bwana ngoja tuone...uwajibikaji si maneno tu.....Actions will show...
 
Mtu anauchapa tena mbele yake ataweza kumwajibisha kweli?

03_11_8cu1nz.jpg

Ila hii kali, hata kama Ngeleja ni mshikaji hapa sikutetei hata kidogo, umeniangusha. Kukutetea ktk picha hii ni lazima mtu kwanza ukose uzalendo wa nchi yako, na pili, lazima uwe mwendawzimu au taahira kidogo. Hili hapa ni lako kaka, libebe mwenyeweeeee!!!!
 
Kucharuka ni haki yake anapoona mambo hayaendi vizuri,kwani baadhi ya mawaziri katika serikali yake hawafanyi kazi kwa juhudi na maarifa,la msingi kama kucharuka kwake sasa kutaongeza kasi ya maendeleo nchini ?
 
Mipangomingi,

Sio vizuri kupotosha au kupindisha maneno ili upate lile unalolitaka. JK amemuonya Ngeleja kuwa makini ili yasijetokea kama yale ya Richmond, sasa hapa hoja yako hapo juu inaingiaje? Hivi ni uwezo wa kujua mambo ndio unaoukosa au unafanya haya kwa makusudi? Kama unafanya haya kwa makusudi unataka kutupeleka wapi na ujinga huo?

Ivi kinvaba, kwa umri ulonao,elimu ulonayo na fahamu ulizonazo, wadhani ngeleja ni makini? If the ansr z yes we utakuwa taahira, but if no mi siyo mjinga kama ulivyonifasiri! Fuatilia trend ya huyu jamaa ndo utagundua kwamba hastahili hata kuwa naibu wazir, iz among top bogus minister ever under the sun, na ukindua kuwa kweli jamaa ni bogus-then who to be blamed? Acha ushabiki, penda haki bana
 
Mipangomingi,

Sio vizuri kupotosha au kupindisha maneno ili upate lile unalolitaka. JK amemuonya Ngeleja kuwa makini ili yasijetokea kama yale ya Richmond, sasa hapa hoja yako hapo juu inaingiaje? Hivi ni uwezo wa kujua mambo ndio unaoukosa au unafanya haya kwa makusudi? Kama unafanya haya kwa makusudi unataka kutupeleka wapi na ujinga huo?

Ivi kinvaba, kwa umri ulonao,elimu ulonayo na fahamu ulizonazo, wadhani ngeleja ni makini? If the ansr z yes we utakuwa taahira, but if no mi siyo mjinga kama ulivyonifasiri! Fuatilia trend ya huyu jamaa ndo utagundua kwamba hastahili hata kuwa naibu wazir, iz among top bogus minister ever under the sun, na ukindua kuwa kweli jamaa ni bogus-then who to be blamed? Acha ushabiki, penda haki bana
 
Hakuna utashi wa kweli hapa, Ki'wete amchimbe mkwala ngeleja? Tunadanganyana tu!
 
Tanzania haijaanza kukaa kiza kipindi cha JK, nakumbuka alipoingia madarakani alirithi kiza kikubwa kutoka kwa??? Utajaza mwenyewe. At least JMK anafanya jitihada za kweli za kukiondoa kiza. Wa kabla yake, wooooote, walifanya nini?

Kiza unamaanisha Giza? sikuelewi au unachanganya na Kipwani Kidogo! maana kiza kiza kiza wengine hatujui ni lugha gani
 
Only I can say is this Kikwete wewe kweli ni a joke, period! Unachokifanya mpaka leo Ikulu kweli sikifahamu na wala sikijui tangu 2005. Unatoa comments kama kwamba wewe huoni haja yako ya kushiriki direct katika hili janga ulilolileta Tanzania? Umewaachia Tanesco si ndivyo? Anachokifanya Rostam na January na Ngereja ndani ya Tanesco nini? Hizi statements zinaonyesha jinsi gani mlipomtumia Rostam na Lowassa kuingiza Richmond na Dowans Tanzania. Kikwete unatumia the same tactics kutaka kuleta deals zingine under the carpet ili Watanzanie waingie financial catastrophe years to come.

Kikwete na ccm Just live our country alone and move to Zanzibar or Oman.
 
Mtu anauchapa tena mbele yake ataweza kumwajibisha kweli?

03_11_8cu1nz.jpg

Hao ndo viongozi mnaowatuma eti waende kuhudhuria vikao vya kimataifa kwa lengo la kujifunza mambo kutoka kwa wengine. Kama kauchapa mbele ya Mkwere inawezekana huwa anauchapa pia anapojadiliana na kutiliana mikataba na wawekezaji mpaka kupelekea kuingia mikataba ya ki-wendawazimu kwenye madini. Hivi kama hakuwa anauchapa usingizi wakati wa kusaini mikataba angekubali Tz kuambulia 3% migodini?
 
[QUOTE
Mwisho unahitaji kwenda Loliondo kupata Kikombe kimoja kutwa mara tatu toka kwa babu.[/QUOTE]


Tujaribu kuwa wastaarabu all the TIME, haya ya kumwambia JAKAYA kwenda Loliondo kwa Babu yanarandanaje na tatizo la UMEME nchini, kumuheshimu binadamu mwenzako costs you next to nothing, calling names Kiongozi wa nchi tunajidhalilisha kamataifa; tujaribu kujirekebisha.

Back to point, Jamani tujaribu kuwa wakweli, hivi tatizo sugu la umeme nchini lilihibuka wakati wa TERM ya Jakaya KWELI? Jibu ni hapana. Kikwete si msemaji sana au mtu mwenye majigambo na kupenda sifa, ukiona anaweka adhalani mambo aliyo zungumza na Baraza lake la mawaziri kuhusu kero za UMEME nchini basi mtu mwenye akili anajuwa kwamba na yeye kama Raisi linamkela sana, kusema kweli baadhi ya viongozi wake wanamuangusha SANA.

Ninacho taka kusisitiza hapa ni kwamba tujaribu kupunguza mambo ya kumkejeri, kumdhalilisha wakati mwigine kutumia lugha hisiyo na staha hata kidogo, tunachopashwa kufanya ni kumsaidia kwa kumpa ushauri; kama nakumbuka vizuri aliwahi kusema raia yeyote anaweza kumpa ushauri kima andishi ikiwezekana, sasa mnataka hawe muwazi kiasi gani!

Mimi tamko lake la leo kuhusu adha ya umeme nchini limenikuna sana na nilikuwa na mawazo kama hayo hayo, rai aliyo toa kwamba: na hapa namnukuu "Nililisema hili pale katika kikao cha Baraza la Mawaziri, shughuli hizi zote za uzalishaji wa umeme wa dharura zianzie na kuishia palepale Tanesco. Bodi ya Tanesco isimamie mchakato mzima bila kuingiliwa na wizara, naomba tusirudi tena kule," nadhani aliongezea kwamba mambo ya Richmond yasije kujirudia. Mimi huwa namsikiliza kwa makini anapozungumza, watu wanasahau kwamba Jakaya huyu huyu aliwahi kumtahadhalisha Waziri Msabaha hawe makini/mwangalifu na wawekezaji wa Richmond sijuhi kama ushauri wake uliwekewa maanani au la, kama watu wangekuwa makini kumsikiliza wakati analisema hilo nadhani hakuna ambaye angekuwa anajaribu kumtumbukiza katika sakata ambalo hakuhusika nalo.

Najuwa watu watanisema sana kuhusu hili, lakini niko tayari kuwajibu na nilisha wahi kusema humu kwamba Kikwete is MEGA-SMART upstairs; sijuhi kama watu walinielewa, labda hili tamko lake kuhusu Wizara ya Nishati/madini na TANESCO kotoingiliana kimajukumu liwe A WAKEUP CALL kwamba binadamu huyu ana a TERA-WATT za analytical mind, remember bila yeye Kenya sasa hivi ingekuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, je Watanzania tuna haki gani ya kumbeza beza mtu kama huyu! Tell me. Mwisho Jakaya huyu huyu aliwahi kushauri kwamba IPTL wa-modify prime mover zao zitumie Natural GAS ambayo inapatikana kirahisi nchini, tangu atoe pendekezo hilo nadhani miaka mitatu imepita, kwani kuna aliye msikiliza! Hakuna; watu wako busy kuagiza matani na matani ya mafuta ya mabillioni kwa ajili ya mitambo ya IPTL ambayo inakula mafuta kama mchwa, sasa tujiulize yeye alijuwaje kwamba tutapunguza gharama kwa kutumia GAS badala ya Heavy OIL wakati si Mechanical wala Electrical Engineer - jibu unalo MEGA-SMART...

Unazungumza kama kwamba Wananchi wanaolalamika hapa Tanzania hawana ustaarabu wowote ila ccm wao ni watu wenye huruma sana. Kama Kikwete na ccm wangekuwa wanafanya kazi kwa ajili ya Watanzania na manufaa ya demokrasia yangekuwepo haya yote, tusingefikia hapa leo hii na hata wewe ungekuwa umelala na kuinjoy familia yako sasa. I don't feel ccm are ethical or they have any kind of morals. Yes Kikwete na ccm wanatakiwa waende Loliondo wanahitaji huu msaada kwa kiasi kikubwa. Mchungaji na uponaji unaopatikana sio kwa ajili ya Kikwete peke yake ni kwa ajili ya Taifa. Unapokuwa na kiongozi anakwenda kwa waganga wa kienyeji na kutegemea madawa ya kishetani ili achaguliwe na kuwaongoza wananchi kwa nguvu unategemea nini? Matatizo ya Taifa la Tanzania mengi yanatokana na immoral acts za viongozi wa nchi. Well let me put this way, Kikwete anaonekana ametuweka wananchi wote in jeopardy. Thats why I don't call Kikwete Kiongozi wangu. Kitu gani kimesababisha mauaji ya albinos na kuongozeka kuuwawa kwa watoto na kupotea kwa familia Tanzania hivi karibuni? What inspire people to chase evil to become wealth na uongozi Tanzania? Haya yote yameongezeka sana Tanzania kwa kipindi cha muda mfupi sana kutokana na haya haya mapatano na mifano ya viongozi wa ccm. Huwezi kupita mahali Tanzania bila kusikia these sad stories za ushirikina. Wewe kama unataka kuficha ukweli na kutuletea diplomacy ya kutetea ccm ambayo haileweki its not going to work.

Leadership ni pamoja na kuchukua lamana na hasa ukiwa mwongo na mtu alieiba kura, uwajibikaji unaongezeka. Mpaka leo statements na opinions tunazoziona humu JF na Taifani, ni fustrations na Wananchi Wanataka Kikwete Aondoke thats it.
 
Ndivyo alivyodanganywa na wasaidizi wake, kwamba aanze kuongeaonga tu maana naina ni kama ametoka usingizini hivi, mambo anayoyasema leo alitakiwa kuyasema siku nyingi sana, infact kama agekwa kiongozi makini yasingetokea kabisa, maana watendaji wake wasinguthubutu kufanya upuuzi huku wakiujua msimamo wa boss wao. mimi nilidhani angemfukuza kazi. mnakumbuka wakati wa kampeni JK aliwapigia kampeni laivu Mramba, Chenge na Rostam huku akisema RA ameenea kama mtandao wa vodacom, mimi sina imani naye.

Halafu akasema Mramba ni panga la zamani lisilo-isha makali!! Mtu yoyote mwenye imani na Mkwere ama ana matatizo au ni beneficiary wa ufisadi wake!!
 
Back
Top Bottom