Eti jirani naye ataka....

Kingmairo

JF-Expert Member
Apr 7, 2012
4,936
3,533
Wanabodi ngoja niwapatie mchapo wa mapenzi uliomtokea swaiba wangu wa karibu. Jamaa aliopoa jimama na wakadumu katika uhusiano takribani miezi miwili(2). Cha ajabu kila wakati wakidu lile jambo jimama linataka mkao fulani tu ila swaiba haelewi. Baada ya kuona jamaa haelewi kabisa siku moja wakati wa ku-do akamwambia, "JIRANI NAYE ATAKA"!! Toka hapo swaiba kaenda kumjengea bifu jirani yake lakini cha ajabu siku nyingine wakati wa ku-do akamwambia tena! Swaiba ndo akauliza nini maana yake? Ndo jipu likapasuliwa pwaa! kuwa na nyuma pia hamu........ Swaiba kadata amekolea! Tabia hiyo imemuudhi ila anashindwa kumtosa amekolea.
 
Mod, hii haistahili hapa, hamishia jukwaa la chini, majirani wanakotakana
 
Ilo limama linatokea visiwa vya karafuu nini?? Maana maswayiba ao wa karafuuni wako radhi k urukwa ukuta ili maeneo rasmi yaendelee kuwa tight
 
dah , stori za ushoga, na kulana tigo humu ndani zimekuwa nyingi mno, hii inaonyesha haya matendo yameshika kasi sana hapa BONGOLAND,

MUNGU ATUEPUSHE MAANA TUMESHINDWA KUJIEPUSHA WENYEWE ..

UKIMWI utatumaliza kwa tabia hizi za kulana tigo
 
Wanabodi ngoja niwapatie mchapo wa mapenzi uliomtokea swaiba wangu wa karibu. Jamaa aliopoa jimama na wakadumu katika uhusiano takribani miezi miwili(2). Cha ajabu kila wakati wakidu lile jambo jimama linataka mkao fulani tu ila swaiba haelewi. Baada ya kuona jamaa haelewi kabisa siku moja wakati wa ku-do akamwambia, "JIRANI NAYE ATAKA"!! Toka hapo swaiba kaenda kumjengea bifu jirani yake lakini cha ajabu siku nyingine wakati wa ku-do akamwambia tena! Swaiba ndo akauliza nini maana yake? Ndo jipu likapasuliwa pwaa! kuwa na nyuma pia hamu........ Swaiba kadata amekolea! Tabia hiyo imemuudhi ila anashindwa kumtosa amekolea.

Dah, siku hizi MMU inaniboa sababu ya ***** kama huu!
 
dah , stori za ushoga, na kulana tigo humu ndani zimekuwa nyingi mno, hii inaonyesha haya matendo yameshika kasi sana hapa BONGOLAND,

MUNGU ATUEPUSHE MAANA TUMESHINDWA KUJIEPUSHA WENYEWE ..

UKIMWI utatumaliza kwa tabia hizi za kulana tigo
Inawezekana ni watu wachache tu wameamua kuya-promote humu. Hivi unadhani ni asilimia ngapi ya watanzania wana-access na wavuti?
 
Back
Top Bottom