Naomba mnijuze juu ya hili kabla sijpotea ndugu yenu
inawezekana sana....na pia inakuwa serious kwa sababu kila mtu anajua anatafuta nini....be careful though
Kama alivyosema Maria Roza inawezekana au isiwezekane cha msingi ni kuwa makini tu.
Yes! Imewezekana kwetu tu kipipimoyoThanx honey imewezekana kwetu tuuu:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
Naomba mnijuze juu ya hili kabla sijpotea ndugu yenu