Kwahiyo Dena huyo mshikaji akikunyima hiyo inayomezwa na mwenzake utakuja kwangu?????Ahsante kwa kunisamehe.
Hapo Bold sijawaonea kwa kuwa kila siku nyie huwa mnatubishia kuwa hamtoki nje ya ndoa zenu, wakati wanaume wamekuwa wakikiri kuwa huwa wanatoka....ndo maana nimewaulizeni mama zangu, katika situation kama hiyo bado hamtatoka?
Tutatoka hata kama si kwa situation kama hiyo peke yake zipo nyingi mf. Maudhi, kunyimwa ile kitu inamesa mwenzake, jamaa kutokuwepo home hadi midnight nk
BTW: Sababu zipo nyingi za kukufanya utoke nje ukawa na mpango wa kando wa kiume
Jamaa asipokuwepo home hadi midnight still utakuja kwangu maana mimi saa 12 jioni niko home?????
WILL BE RIGHT BACK FOR ANSWERS.
Miss you too, it does really it does
hahaha!usiende ofu topic hapa tunaangalia uwezekano wa kutomwita zraili kwa kujitakia,dena amesema atatoka coz uvumilivu utamshinda!odm labda cjakuelewa,jamaa anapoumwa kiuno na baolojia yake nayo inakuwa haifankshen?
Hizi hypothetical stories zimekuwa too much sasa..
Halafu kama member mmoja alivyochangia zimekuwa zinawa-direct wanawake tu..embu leteni issues concrete bwana.
Kama unaona hii ishu sio concrete lete wewe basi hiyo ishu unayoona ni concrete, btw what is concrete and what is not concrete on this issue??????Hizi hypothetical stories zimekuwa too much sasa..
Halafu kama member mmoja alivyochangia zimekuwa zinawa-direct wanawake tu..embu leteni issues concrete bwana.
Ahaaa ahaaa:hand::hand::hand:fainest na mama obama mnakwenda ofu topic am watching kwa niaba ya odm
Bwana weee saa nyingine tuwe wakweli and fair "TUNATOKA" asikwambie mtu ila kwa siri sana.
Kwa situation hiyo NITATOKA ha ha ha ha usininukuu tafadhali yaishie hapa hapa usijekwenda mwambia mwenyewe atanitoa macho.
Nimemiss albatar!!!
Kwanini mna amini mtu akiwa tofauti na nyie anazusha? there are exceptions.....!!! mimi hapana na Mungu anisaidie......!!!
Babu watu wengine banaa sijui vipi eti CONCRETE ISSUES kwani hawa waliochangia wao hawakuona kama hii no CONCRETE ISSUES kama wasingeona CONCRETE wasingechangia, CONCRETE, CONCRETE, CONCRETE my foot..........Aisee dogo........unanidai bia ngapi vile?
Potezea hiyo c.....p!
Siyo lazima bana....Ila kwa kesi hii jamaa aliparalaizi na baioloji ikabuma!
We usingetoka kutii kiu yako?
Sina swali la nyongeza mheshimiwa Dena Amsi.
Unanidai albatar la kike na tusker kadhaa za baridi!
Ahaaa ahaaa:hand::hand::hand:
sijui nikuPM?
Mhe. Dena Amsi hakika utaishi maisha marefu yasiyokuwa na stress za mawazo, unanidai vocha ya Tshs 5,000/=
Ni PM namba unayotumia nikuvurumishie mivocha. Sitaki mzaha saa hizi