sura yake kama naifahamu...
inakuja inapotea...
tukumbushane...
Hebu toa ulaza wako hapa!mh!
wewe unakosea...!
huyu ni bi kudude!
Hebu toa ulaza wako hapa!
BTW
Hujambo dogo wangu?
Ni kama Jay Dee vile
Hapo mdomoni mbona kuna rangi rangi?kala msosi gani wenye rangi nzuri namna hiyo?
Nshamfahamu,yupo humu humu jamvini!