Aristolicius
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 110
- 38
habari jf!
Kuanzia form 4 nilianza urafiki wa kawaida na binti moja jirani yetu,niliponza f5 urafiki ukageuka kuwa mapenzi ila sikuwahi kufanya nae mapenzi hadi siku moja wote tukiwa f6 ambapo ndo ilikuwa mara yangu ya 1 na yake kufanya tendo hilo ,kosa lililozua kosa jingine ambapo binti alipata mimba ila kwa bahati nzuri aliweza kufanya mitihani yake bila kugundulika,baada ya mitihani mimba ikawa kubwa wazazi wako wakahoji na mimi nikatajwa kama muhusika,baada ya vikao vya pande mbili za wazazi,wazazi wangu walikubali kumtunza binti na mtoto,na wazazi wake wakasema kama faini wazazi wangu watawajibika pia kumsomesha binti,hivyo binti alijifungua mtt wa kike na baada ya matokeo wote tulifaulu mm nikapata scholarship yy akachaguliwa udsm,wazazi wangu walikuwa wanampa hela za matumiz na kumpangia nyumba dar huku wenyewe wakabaki wakitunza mtt,wakati walikizo binti alipewa gari limsaidie kumpeleleka mtt clinic na shughuli nyingine ,cha kushangaza ni kwamba baada ya kumaliza masomo binti alihamia nyumbani akitafutiwa kazi anatoa visingizio anagoma na nyumbani amekaa tu hatki kufanya kazi hata za kumhudumia mwanetu eti anasema anataka alipwe! Na wakati huo huo anasema amilikishwe gari lile,anasema wasipo fanya hivyo ataenda na mtt nchi tusioijua na hatuta muona,
naombeni msaada wenu nifanyeje?
Kuanzia form 4 nilianza urafiki wa kawaida na binti moja jirani yetu,niliponza f5 urafiki ukageuka kuwa mapenzi ila sikuwahi kufanya nae mapenzi hadi siku moja wote tukiwa f6 ambapo ndo ilikuwa mara yangu ya 1 na yake kufanya tendo hilo ,kosa lililozua kosa jingine ambapo binti alipata mimba ila kwa bahati nzuri aliweza kufanya mitihani yake bila kugundulika,baada ya mitihani mimba ikawa kubwa wazazi wako wakahoji na mimi nikatajwa kama muhusika,baada ya vikao vya pande mbili za wazazi,wazazi wangu walikubali kumtunza binti na mtoto,na wazazi wake wakasema kama faini wazazi wangu watawajibika pia kumsomesha binti,hivyo binti alijifungua mtt wa kike na baada ya matokeo wote tulifaulu mm nikapata scholarship yy akachaguliwa udsm,wazazi wangu walikuwa wanampa hela za matumiz na kumpangia nyumba dar huku wenyewe wakabaki wakitunza mtt,wakati walikizo binti alipewa gari limsaidie kumpeleleka mtt clinic na shughuli nyingine ,cha kushangaza ni kwamba baada ya kumaliza masomo binti alihamia nyumbani akitafutiwa kazi anatoa visingizio anagoma na nyumbani amekaa tu hatki kufanya kazi hata za kumhudumia mwanetu eti anasema anataka alipwe! Na wakati huo huo anasema amilikishwe gari lile,anasema wasipo fanya hivyo ataenda na mtt nchi tusioijua na hatuta muona,
naombeni msaada wenu nifanyeje?