Nimepita kibanda cha magazeti, nikakuta kuna jamaa kanunua Gazeti la Uhuru, katoa buku, akashtuka kurejeshewa sh 300!
Kwanza nikastaajabu kuona mtu anatoa pesa kununua gazeti hilo, lkn mshangao ukaongezeka kugundua kumbe nalo linauzwa sh 700!
Kawaida hulikuta gazeti hili mi hulikuta ofisi za umma, naona wameamua kufidia hasara kwa kupandisha bei, ili walau serikali inapowaungisha, warejeshe gharama za uchapaji.
Kwanza nikastaajabu kuona mtu anatoa pesa kununua gazeti hilo, lkn mshangao ukaongezeka kugundua kumbe nalo linauzwa sh 700!
Kawaida hulikuta gazeti hili mi hulikuta ofisi za umma, naona wameamua kufidia hasara kwa kupandisha bei, ili walau serikali inapowaungisha, warejeshe gharama za uchapaji.