tracy wa NJIRO
Member
- Feb 14, 2012
- 71
- 8
WADAU MSAADA ETI HII gALAXY TAB 10.1 AU 7 ZINATUMIA CHEAP i MEAN LINE
WADAU MSAADA ETI HII gALAXY TAB 10.1 AU 7 ZINATUMIA CHEAP i MEAN LINE
mkuu haujajishtukia tu mi nilidhani utarekebisha post yako ndani ya mda mfupi! ok, kwa kifupi elewa tu kuwa hata iPad zina version ya WiFi pekee na WiFi + 3G! hata sisi tuna tunapeta kwasababu zinatumia simcards. 3G kama kawa!!! :redface:zote zinatumia mkuu, hapo ndipo Samsung walipompiga bao apple ipads ambazo kwa sehemu kubwa utaenjoy kama una wi-fi ambayo huku bongo ni sehemu chache sana ndo zina wi-fi hata hizo chache mpaka uwe na password.
Samsung tablet tunapeta tu kwa sababu zinatumia simcards. 3G kama kawa!!!
duuh brother unacompare Samsung tablets na mali za apple iPad?
parefu mno, labda ungecompare na android tablets hivi.
ok. tukirudi kwenye swali: yup kaka zinatumia sim card so no need kua na moderm.