kuna mtu wa TAKUKURU KANITUMIA UJUMBE , anasema kuwa ni kweli mjamaa ameandika barua kwenda kwa mabosi wake, ila bado wanakimbizana na jamaa wa pale kuujua ukweliHabari zilizozagaa sehemu mbalimbali mchana huu zinasema Dk Edward Hosseh, bosi mkuu wa Takukuru amejiuzulu wadhifa wake. Wenye taarifa za uhakika watupashe.
kuna mtu wa TAKUKURU KANITUMIA UJUMBE , anasema kuwa ni kweli mjamaa ameandika barua kwenda kwa mabosi wake, ila bado wanakimbizana na jamaa wa masijala ya siri ya pale kuujua ukweli
Mwambie jamaa yako wa Takukuru achacharike apate taarifa za ndani ili utudondoshee humu jamvini.